Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Timotheo 1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Timotheo—Yaliyomo

      • Salamu (1, 2)

      • Onyo dhidi ya walimu wa uwongo (3-11)

      • Paulo atendewa kwa fadhili zisizostahiliwa (12-16)

      • Mfalme wa umilele (17)

      • ‘Pigana vita vizuri’ (18-20)

1 Timotheo 1:1

Marejeo

  • +1Pe 1:3, 4

1 Timotheo 1:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Mtu Anayemheshimu Mungu.”

Marejeo

  • +Mdo 16:1, 2; Flp 2:19, 20
  • +1Ko 4:17

1 Timotheo 1:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” kur. 237-238

1 Timotheo 1:4

Marejeo

  • +1Ti 4:7; 2Ti 4:3, 4; Tit 1:13, 14
  • +1Ti 6:20; 2Ti 2:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2011, kur. 16-18

    4/1/1994, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/15 16-18

1 Timotheo 1:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mamlaka hii; amri hii.”

Marejeo

  • +Ro 13:8
  • +Gal 5:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2015, uku. 9

1 Timotheo 1:6

Marejeo

  • +1Ti 6:20; 2Ti 2:16-18

1 Timotheo 1:7

Marejeo

  • +Yak 3:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

1 Timotheo 1:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kisheria.”

1 Timotheo 1:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wasio na upendo mshikamanifu.”

Marejeo

  • +Gal 3:19

1 Timotheo 1:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi, “Uasherati.”

  • *

    Tnn., “wanaume wanaolala na wanaume.”

  • *

    Au “wanaoapa kwa uwongo.”

  • *

    Au “lenye afya; lenye faida.”

Marejeo

  • +2Ti 1:13; Tit 1:7, 9

1 Timotheo 1:11

Marejeo

  • +Gal 2:7, 8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 125

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2009, kur. 16-17

    3/1/2007, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 12/15 16-17; w07 3/1 17

1 Timotheo 1:12

Marejeo

  • +Mdo 9:15; 2Ko 3:5, 6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    7/2019, uku. 31

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    7/2016, kur. 26-27

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/1989, kur. 23-24

1 Timotheo 1:13

Marejeo

  • +Mdo 8:3; 9:1, 2; Gal 1:13; Flp 3:5, 6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    5/15/2005, kur. 26-27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 5/15 26-27

1 Timotheo 1:15

Marejeo

  • +Lu 5:32; 2Ko 5:19; 1Yo 2:1, 2
  • +Mdo 9:1, 2; 1Ko 15:9

1 Timotheo 1:16

Marejeo

  • +Yoh 6:40; 20:31

1 Timotheo 1:17

Marejeo

  • +Zb 10:16; 90:2; Da 6:26; Ufu 15:3
  • +Ro 1:23
  • +Kol 1:15
  • +Isa 43:10; 1Ko 8:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, uku. 12

  • Fahirishi ya Machapisho

    cl 12

1 Timotheo 1:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mamlaka hii; amri hii.”

Marejeo

  • +2Ti 2:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Ushahidi, uku. 121

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2020, kur. 28-30

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2015, uku. 14

    9/15/2008, uku. 30

    9/15/1999, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    bt 121; w08 9/15 30; w99 9/15 29

1 Timotheo 1:19

Marejeo

  • +1Ti 1:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2007, kur. 12-15

    7/15/1999, kur. 15, 17-18

    7/15/1989, uku. 22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 10/15 12-15; w99 7/15 15, 17-18

1 Timotheo 1:20

Marejeo

  • +2Ti 2:16-18
  • +1Ko 5:5, 11

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Tim. 1:11Pe 1:3, 4
1 Tim. 1:2Mdo 16:1, 2; Flp 2:19, 20
1 Tim. 1:21Ko 4:17
1 Tim. 1:41Ti 4:7; 2Ti 4:3, 4; Tit 1:13, 14
1 Tim. 1:41Ti 6:20; 2Ti 2:14
1 Tim. 1:5Ro 13:8
1 Tim. 1:5Gal 5:6
1 Tim. 1:61Ti 6:20; 2Ti 2:16-18
1 Tim. 1:7Yak 3:1
1 Tim. 1:9Gal 3:19
1 Tim. 1:102Ti 1:13; Tit 1:7, 9
1 Tim. 1:11Gal 2:7, 8
1 Tim. 1:12Mdo 9:15; 2Ko 3:5, 6
1 Tim. 1:13Mdo 8:3; 9:1, 2; Gal 1:13; Flp 3:5, 6
1 Tim. 1:15Lu 5:32; 2Ko 5:19; 1Yo 2:1, 2
1 Tim. 1:15Mdo 9:1, 2; 1Ko 15:9
1 Tim. 1:16Yoh 6:40; 20:31
1 Tim. 1:17Zb 10:16; 90:2; Da 6:26; Ufu 15:3
1 Tim. 1:17Ro 1:23
1 Tim. 1:17Kol 1:15
1 Tim. 1:17Isa 43:10; 1Ko 8:4
1 Tim. 1:182Ti 2:3
1 Tim. 1:191Ti 1:5
1 Tim. 1:202Ti 2:16-18
1 Tim. 1:201Ko 5:5, 11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Timotheo 1:1-20

Barua ya Kwanza kwa Timotheo

1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Kristo Yesu, tumaini letu,+ 2 kwa Timotheo,*+ mwanangu halisi+ katika imani:

Na uwe na fadhili zisizostahiliwa, rehema, na amani kutoka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.

3 Kama nilivyokutia moyo ubaki Efeso nilipokuwa karibu kwenda Makedonia, sasa ninakutia moyo ufanye vivyo hivyo, ili uwaamuru watu fulani wasifundishe mambo tofauti, 4 wala kusikiliza hadithi za uwongo+ na kuchunguza-chunguza ukoo. Mambo hayo hayaleti manufaa yoyote+ bali hutokeza maswali badala ya kuleta chochote kutoka kwa Mungu kuhusiana na imani. 5 Kwa kweli, kusudi la agizo hili* ni upendo+ unaotokana na moyo safi na dhamiri njema na imani+ bila unafiki. 6 Kwa kuyaacha mambo hayo, watu fulani wamekengeushwa na kujiingiza katika mazungumzo yasiyo na maana.+ 7 Wanataka kuwa walimu+ wa sheria, lakini hawaelewi mambo wanayosema au mambo wanayosisitiza sana.

8 Sasa tunajua kwamba Sheria ni nzuri ikiwa mtu anaitumia vizuri,* 9 na tunatambua kwamba sheria haiwekwi kwa ajili ya mtu mwadilifu, bali kwa ajili ya watu wanaovunja sheria+ na waasi, watu wasiomwogopa Mungu na watenda dhambi, wasio washikamanifu* na wasioheshimu mambo matakatifu, wale wanaoua akina baba, akina mama, au watu wengine, 10 waasherati,* wanaume wanaofanya ngono na wanaume,* wateka nyara, waongo, wanaotoa ushahidi wa uwongo,* na jambo lingine lolote ambalo ni kinyume cha fundisho lenye manufaa*+ 11 kulingana na habari njema yenye utukufu ya Mungu mwenye furaha, ambayo nilikabidhiwa.+

12 Ninamshukuru Kristo Yesu Bwana wetu, aliyenitia nguvu, kwa sababu aliniona kuwa mwaminifu kwa kunipa huduma,+ 13 ingawa zamani nilikuwa mkufuru na mtesaji na mtu mwenye dharau.+ Hata hivyo, nilionyeshwa rehema, kwa sababu nilitenda bila ujuzi na sikuwa na imani. 14 Lakini fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu zilizidi sana pamoja na imani na upendo ulio katika Kristo Yesu. 15 Maneno haya ni yenye kuaminika na yanastahili kukubaliwa kabisa: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni ili kuwaokoa watenda dhambi.+ Kati yao, mimi ndiye wa kwanza kabisa.+ 16 Hata hivyo, nilionyeshwa rehema ili kupitia mimi nikiwa wa kwanza kabisa, Kristo Yesu aonyeshe subira yake yote, nami niwe mfano kwa wote watakaomwamini ili kupata uzima wa milele.+

17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika+ na asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele. Amina.

18 Mwanangu Timotheo, ninakukabidhi agizo hili,* ili kulingana na unabii uliotolewa kukuhusu, uendelee kupigana vita vizuri,+ 19 ukishika imani na dhamiri njema,+ ambayo wengine wameitupilia mbali na hivyo imani yao ikavunjika. 20 Himenayo+ na Aleksanda ni kati yao, nami nimewatia mkononi mwa Shetani,+ ili wafundishwe kwa nidhamu wasikufuru.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki