Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wakorintho—Yaliyomo

      • Nuru ya habari njema (1-6)

        • Akili za wasioamini zimepofushwa (4)

      • Hazina katika vyombo vya udongo (7-18)

2 Wakorintho 4:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    8/15/2005, kur. 14-15

    7/15/1990, uku. 18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 8/15 15

2 Wakorintho 4:2

Marejeo

  • +2Ko 2:17; Gal 1:9
  • +2Ko 6:3, 4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    8/15/2005, kur. 14-15

    10/1/1997, kur. 18-20

    5/1/1997, kur. 6-7

    7/15/1990, uku. 18

    Shule ya Huduma, uku. 153

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 8/15 15; be 153; w97 5/1 6-7; w97 10/1 18-20

2 Wakorintho 4:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    8/15/2005, kur. 21-22

    7/15/1990, kur. 18-19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 8/15 21-22

2 Wakorintho 4:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi, “Mfumo wa mambo.”

  • *

    Au “mwangaza wa.”

Marejeo

  • +Yoh 14:30; Efe 2:2; 1Yo 5:19
  • +2Ko 11:14
  • +Kol 1:15; Ebr 1:3
  • +Isa 60:2; Yoh 8:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    4/22/2005, uku. 9

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1990, kur. 13-15

    7/15/1990, kur. 16-17, 18-19

  • Fahirishi ya Machapisho

    g05 4/22 9

2 Wakorintho 4:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1990, kur. 18-19

2 Wakorintho 4:6

Marejeo

  • +Mwa 1:3
  • +1Pe 2:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2004, uku. 17

    3/1/2002, uku. 8

    7/15/1990, kur. 16-17, 18-19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 3/15 17; w02 3/1 8

2 Wakorintho 4:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “katika mitungi ya udongo.”

Marejeo

  • +2Ko 4:1
  • +Isa 64:8; Mdo 9:15; 1Ko 15:47
  • +2Ko 12:9, 10; Flp 4:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2017, kur. 10-11

    Mrudie Yehova, uku. 6

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2012, kur. 28-29

    7/1/2000, uku. 18

    3/15/1999, uku. 11

    2/1/1999, uku. 14

    2/1/1992, uku. 32

    7/15/1990, kur. 15-16, 19

    Huduma Yetu ya Ufalme,

    2/2007, uku. 1

    1/1998, uku. 1

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 2/1 28-29; km 2/07 1; w00 7/1 18; w99 2/1 14; w99 3/15 11; km 1/98 1

2 Wakorintho 4:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “tukiwa tumekata tamaa.”

Marejeo

  • +1Ko 10:13

2 Wakorintho 4:9

Marejeo

  • +Ebr 13:5
  • +Ufu 2:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1990, uku. 5

2 Wakorintho 4:10

Marejeo

  • +Flp 3:10; 1Pe 4:13

2 Wakorintho 4:11

Marejeo

  • +Ro 8:36; 1Ko 4:9; 15:31

2 Wakorintho 4:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1990, kur. 19-20

2 Wakorintho 4:13

Marejeo

  • +Zb 116:10

2 Wakorintho 4:14

Marejeo

  • +1Ko 6:14

2 Wakorintho 4:15

Marejeo

  • +2Ti 2:10

2 Wakorintho 4:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    5/2019, uku. 2

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2008, uku. 28

    8/15/2004, uku. 25

    5/15/1996, uku. 32

    Amkeni!,

    8/8/1992, uku. 31

    Kutoa Sababu, uku. 107

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 7/15 28; w04 8/15 25; rs 107; w96 5/15 32

2 Wakorintho 4:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “majaribu.”

  • *

    Tnn., “ulio na uzito.”

Marejeo

  • +Mt 5:12; Ro 8:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 724

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1996, kur. 27-28

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 2/15 27-28

2 Wakorintho 4:18

Marejeo

  • +2Ko 5:7; Ebr 11:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    5/2020, kur. 26-31

    Ibada Safi, uku. 36

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1996, kur. 27-29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 2/15 27-29

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Kor. 4:22Ko 2:17; Gal 1:9
2 Kor. 4:22Ko 6:3, 4
2 Kor. 4:4Yoh 14:30; Efe 2:2; 1Yo 5:19
2 Kor. 4:42Ko 11:14
2 Kor. 4:4Kol 1:15; Ebr 1:3
2 Kor. 4:4Isa 60:2; Yoh 8:12
2 Kor. 4:6Mwa 1:3
2 Kor. 4:61Pe 2:9
2 Kor. 4:72Ko 4:1
2 Kor. 4:7Isa 64:8; Mdo 9:15; 1Ko 15:47
2 Kor. 4:72Ko 12:9, 10; Flp 4:13
2 Kor. 4:81Ko 10:13
2 Kor. 4:9Ebr 13:5
2 Kor. 4:9Ufu 2:10
2 Kor. 4:10Flp 3:10; 1Pe 4:13
2 Kor. 4:11Ro 8:36; 1Ko 4:9; 15:31
2 Kor. 4:13Zb 116:10
2 Kor. 4:141Ko 6:14
2 Kor. 4:152Ti 2:10
2 Kor. 4:17Mt 5:12; Ro 8:18
2 Kor. 4:182Ko 5:7; Ebr 11:1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wakorintho 4:1-18

Barua ya Pili kwa Wakorintho

4 Kwa hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii kupitia rehema tuliyoonyeshwa, hatufi moyo. 2 Hata hivyo, tumeyakataa mambo ya kichinichini ya aibu, hatutembei kwa ujanja, au kulichanganya na kitu chochote neno la Mungu;+ bali kwa kufanya kweli iwe wazi, tunajipendekeza kwa kila dhamiri ya mwanadamu machoni pa Mungu.+ 3 Ikiwa kwa kweli habari njema tunayotangaza imefunikwa kwa kitambaa, imefunikwa kati ya wale wanaoangamia, 4 ambao kati yao mungu wa mfumo huu wa mambo*+ amezipofusha akili za wasioamini,+ ili nuru ya* habari njema yenye utukufu kuhusu Kristo, aliye mfano wa Mungu,+ isiwaangazie.+ 5 Kwa maana tunahubiri, si kuhusu sisi wenyewe, bali kuhusu Yesu Kristo kwamba ni Bwana na sisi wenyewe kwamba ni watumwa wenu kwa ajili ya Yesu. 6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi wenye utukufu kumhusu Mungu kupitia uso wa Kristo.

7 Hata hivyo, tuna hazina hii+ katika vyombo vya udongo,*+ ili nguvu zinazopita zile za kawaida ziwe za Mungu na si kutoka kwetu.+ 8 Tunakandamizwa katika kila njia, lakini hatubanwi kupita kiasi cha kushindwa kusonga; tunafadhaishwa, lakini si bila njia ya kutokea kabisa;*+ 9 tunateswa, lakini hatuachwi bila msaada;+ tunaangushwa chini, lakini hatuangamizwi.+ 10 Sikuzote katika mwili wetu tunavumilia matendo yenye kuleta kifo ambayo Yesu aliteseka,+ ili uzima wa Yesu ufunuliwe pia katika mwili wetu. 11 Kwa maana sikuzote sisi tunaoishi tunakabili kifo uso kwa uso+ kwa ajili ya Yesu, ili uzima wa Yesu ufunuliwe pia katika mwili wetu unaoweza kufa. 12 Kwa hiyo kifo kinafanya kazi ndani yetu, lakini uzima ndani yenu.

13 Basi kwa sababu tuna roho ileile ya imani kama ile iliyoandikwa hivi kuihusu: “Mimi nilionyesha imani, kwa hiyo nikasema”;+ sisi pia tunaonyesha imani na kwa hiyo tunasema, 14 tukijua kwamba Yule aliyemfufua Yesu atatufufua sisi pia pamoja na Yesu naye atatutokeza sisi pamoja nanyi.+ 15 Kwa maana mambo yote haya ni kwa ajili yenu, ili fadhili zisizostahiliwa zinazoongezeka zizidi kuwa nyingi kwa sababu wengi zaidi wanatoa shukrani kwa utukufu wa Mungu.+

16 Kwa hiyo, hatufi moyo, lakini hata ikiwa mtu tuliye kwa nje anachakaa, hakika mtu tuliye kwa ndani anafanywa upya siku kwa siku. 17 Kwa maana ingawa dhiki* ni ya muda mfupi na ni nyepesi, inatokeza kwa ajili yetu utukufu ulio mkuu* na bora zaidi na zaidi, na wa milele;+ 18 huku tukikaza macho yetu, si juu ya vitu vinavyoonekana, bali juu ya vitu visivyoonekana.+ Kwa maana vitu vinavyoonekana ni vya muda, lakini vitu visivyoonekana ni vya milele.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki