Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wakorintho—Yaliyomo

      • Barua za mapendekezo (1-3)

      • Wahudumu wa agano jipya (4-6)

      • Utukufu ulio bora wa agano jipya (7-18)

2 Wakorintho 3:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1990, kur. 13-14

2 Wakorintho 3:2

Marejeo

  • +1Ko 9:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1990, kur. 13-14

    6/15/1988, uku. 30

2 Wakorintho 3:3

Marejeo

  • +1Ko 3:5
  • +Kut 31:18; 34:1
  • +Met 3:3; 7:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1990, kur. 13-14

    6/15/1988, uku. 30

2 Wakorintho 3:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1990, uku. 14

2 Wakorintho 3:5

Marejeo

  • +Kut 4:12, 15; Flp 2:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2008, uku. 28

    2/15/2002, kur. 24-25

    11/15/2000, kur. 17-19

    7/15/1990, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 7/15 28; w02 2/15 24-25; w00 11/15 17-19

2 Wakorintho 3:6

Marejeo

  • +Ebr 8:6
  • +Ro 13:9
  • +Gal 3:10
  • +Yoh 6:63

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2002, kur. 24-25

    11/15/2000, kur. 17-19

    7/15/1990, uku. 14

    “Kila Andiko,” uku. 24

    Usalama Ulimwenguni Pote, kur. 108-112

  • Fahirishi ya Machapisho

    w02 2/15 24-25; w00 11/15 17-19

2 Wakorintho 3:7

Marejeo

  • +Kut 31:18; 32:16
  • +Kut 34:29, 30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1990, uku. 16

2 Wakorintho 3:8

Marejeo

  • +Mdo 2:1, 4
  • +1Pe 4:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1990, uku. 16

2 Wakorintho 3:9

Marejeo

  • +Kum 27:26
  • +Kut 34:35
  • +Ro 3:21, 22

2 Wakorintho 3:10

Marejeo

  • +Kol 2:16, 17

2 Wakorintho 3:11

Marejeo

  • +Kut 19:16; 24:17
  • +Ebr 12:22-24

2 Wakorintho 3:12

Marejeo

  • +1Pe 1:3, 4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1990, uku. 16

2 Wakorintho 3:13

Marejeo

  • +Kut 34:33-35

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1990, uku. 16

2 Wakorintho 3:14

Marejeo

  • +Ro 11:7
  • +Yoh 12:40
  • +Ro 7:6; Efe 2:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2009, uku. 21

    8/15/2005, uku. 20

    3/15/2004, uku. 16

    2/1/1998, uku. 10

    3/1/1995, uku. 19

    7/15/1990, uku. 16

    “Kila Andiko,” uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 4/1 21; w05 8/15 20; w04 3/15 16; w98 2/1 10

2 Wakorintho 3:15

Marejeo

  • +Mdo 15:21
  • +Ro 11:8

2 Wakorintho 3:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Kut 34:34

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2018, uku. 9

    The Watchtower,

    8/15/2005, uku. 23

    7/15/1990, kur. 16-17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 8/15 23

2 Wakorintho 3:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Yoh 4:24
  • +Isa 61:1; Ro 6:14; 8:15; Gal 5:1, 13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2018, kur. 19-20

    4/2018, kur. 8-9

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2012, uku. 10

    1/15/1991, uku. 6

    Muumba, kur. 87-88

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 7/15 10; ct 87-88

2 Wakorintho 3:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

  • *

    Tnn., “kutoka utukufu mpaka utukufu.”

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

  • *

    Au labda, “kupitia roho ya Yehova.”

Marejeo

  • +2Ko 4:6; Efe 4:23, 24; 5:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2012, kur. 23-24

    8/15/2005, kur. 14-15, 24

    3/15/2004, kur. 16-17

    9/15/1990, uku. 26

    8/15/1990, uku. 29

    7/15/1990, kur. 16-18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 5/15 23-24; w05 8/15 14-15, 24; w04 3/15 16-17

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Kor. 3:21Ko 9:2
2 Kor. 3:31Ko 3:5
2 Kor. 3:3Kut 31:18; 34:1
2 Kor. 3:3Met 3:3; 7:3
2 Kor. 3:5Kut 4:12, 15; Flp 2:13
2 Kor. 3:6Ebr 8:6
2 Kor. 3:6Ro 13:9
2 Kor. 3:6Gal 3:10
2 Kor. 3:6Yoh 6:63
2 Kor. 3:7Kut 31:18; 32:16
2 Kor. 3:7Kut 34:29, 30
2 Kor. 3:8Mdo 2:1, 4
2 Kor. 3:81Pe 4:14
2 Kor. 3:9Kum 27:26
2 Kor. 3:9Kut 34:35
2 Kor. 3:9Ro 3:21, 22
2 Kor. 3:10Kol 2:16, 17
2 Kor. 3:11Kut 19:16; 24:17
2 Kor. 3:11Ebr 12:22-24
2 Kor. 3:121Pe 1:3, 4
2 Kor. 3:13Kut 34:33-35
2 Kor. 3:14Ro 11:7
2 Kor. 3:14Yoh 12:40
2 Kor. 3:14Ro 7:6; Efe 2:15
2 Kor. 3:15Mdo 15:21
2 Kor. 3:15Ro 11:8
2 Kor. 3:16Kut 34:34
2 Kor. 3:17Yoh 4:24
2 Kor. 3:17Isa 61:1; Ro 6:14; 8:15; Gal 5:1, 13
2 Kor. 3:182Ko 4:6; Efe 4:23, 24; 5:1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wakorintho 3:1-18

Barua ya Pili kwa Wakorintho

3 Je, tunaanza tena kujipendekeza wenyewe? Au kama watu fulani, je, tunahitaji barua za pendekezo kuja au kutoka kwenu? 2 Ninyi wenyewe ndio barua yetu,+ iliyoandikwa juu ya mioyo yetu na kujulikana na kusomwa na wanadamu wote. 3 Kwa maana ni wazi kwamba ninyi ni barua ya Kristo ambayo tuliandika tukiwa wahudumu,+ iliyoandikwa si kwa wino bali kwa roho ya Mungu aliye hai, si juu ya mabamba ya mawe,+ bali juu ya mabamba ya nyama, juu ya mioyo.+

4 Tuna uhakika wa namna hii kwa Mungu kupitia Kristo. 5 Si kwamba sisi wenyewe tunastahili vya kutosha kufikiri kuwa jambo lolote linatoka kwetu, bali kustahili kwetu vya kutosha hutoka kwa Mungu,+ 6 ambaye kwa kweli ametustahilisha vya kutosha kuwa wahudumu wa agano jipya,+ si wa sheria zilizoandikwa,+ bali wa roho; kwa maana sheria zilizoandikwa huleta hukumu ya kifo,+ bali roho hufanya kuwa hai.+

7 Basi ikiwa sheria zinazotoa kifo ambazo zilichongwa kwa herufi kwenye mawe+ zilikuja kwa utukufu kama huo hivi kwamba wana wa Israeli hawakuweza kuutazama uso wa Musa kwa sababu ya utukufu wa uso wake,+ utukufu ambao ungekuja kuondolewa, 8 kwa nini kutolewa kwa roho+ kusiwe kwenye utukufu zaidi?+ 9 Kwa maana ikiwa sheria zilizotoa hukumu ya hatia+ zilikuwa zenye utukufu,+ kutolewa kwa uadilifu kungekuwa na utukufu mwingi kadiri gani!+ 10 Kwa kweli, hata kile ambacho wakati fulani kilifanywa kiwe na utukufu kimevuliwa utukufu, kwa sababu ya utukufu unaokizidi.+ 11 Kwa maana ikiwa kile ambacho kingeondolewa kiliingizwa kwa utukufu,+ basi utukufu wa kinachobaki ungekuwa mwingi kadiri gani!+

12 Kwa kuwa tuna tumaini hilo,+ tunazungumza kwa uhuru mwingi, 13 nasi hatufanyi kama Musa alivyofanya alipofunika uso wake kwa kitambaa+ ili wana wa Israeli wasitazame mwisho wa kile ambacho kingeondolewa. 14 Lakini akili zao zilitiwa uzito.+ Kwa maana mpaka leo kitambaa kilekile kinadumu bila kuondolewa agano la zamani linaposomwa,+ kwa sababu kinaondolewa tu kupitia Kristo.+ 15 Kwa kweli, mpaka leo kila mara maandishi ya Musa yanaposomwa,+ kitambaa hukaa juu ya mioyo yao.+ 16 Lakini mtu anapomgeukia Yehova,* kitambaa huondolewa.+ 17 Basi Yehova* ni Roho,+ na mahali palipo na roho ya Yehova,* pana uhuru.+ 18 Na sisi sote, tunapotoa kama vioo mrudisho wa utukufu wa Yehova* tukiwa na nyuso zisizo na kitambaa, tunageuzwa kuwa katika mfano uleule kutoka kiwango kimoja cha utukufu mpaka kingine,* sawa na anavyofanya Yehova* ambaye ni Roho.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki