Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Utawala wa Rehoboamu (1-12)

      • Walawi washikamanifu wahamia Yuda (13-17)

      • Familia ya Rehoboamu (18-23)

2 Mambo ya Nyakati 11:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “waliochaguliwa.”

Marejeo

  • +Mwa 49:27; 2Nya 14:8
  • +1Fa 12:21-24

2 Mambo ya Nyakati 11:2

Marejeo

  • +2Nya 12:15

2 Mambo ya Nyakati 11:4

Marejeo

  • +1Fa 11:31; 2Nya 10:15

2 Mambo ya Nyakati 11:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “akaimarisha.”

Marejeo

  • +Mwa 35:19; Mt 2:1
  • +Amo 1:1

2 Mambo ya Nyakati 11:7

Marejeo

  • +2Nya 28:18
  • +1Sa 22:1

2 Mambo ya Nyakati 11:8

Marejeo

  • +1Nya 18:1
  • +1Sa 23:14

2 Mambo ya Nyakati 11:9

Marejeo

  • +2Nya 32:9
  • +Yos 10:10; Yer 34:7

2 Mambo ya Nyakati 11:10

Marejeo

  • +Yos 19:42, 48
  • +Yos 14:14, 15; 2Sa 2:1

2 Mambo ya Nyakati 11:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 169

2 Mambo ya Nyakati 11:14

Marejeo

  • +Hes 35:2, 3
  • +1Fa 12:31, 32

2 Mambo ya Nyakati 11:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbuzi.”

Marejeo

  • +1Fa 13:33
  • +Law 17:7
  • +1Fa 12:26, 28

2 Mambo ya Nyakati 11:16

Marejeo

  • +Kum 12:11; 1Nya 22:1; 2Nya 15:8, 9; 30:10, 11

2 Mambo ya Nyakati 11:18

Marejeo

  • +1Sa 16:6; 17:13

2 Mambo ya Nyakati 11:20

Marejeo

  • +2Sa 13:1; 18:33
  • +1Fa 15:1; 2Nya 12:16; Mt 1:7

2 Mambo ya Nyakati 11:21

Marejeo

  • +Kum 17:17

2 Mambo ya Nyakati 11:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “uelewaji.”

  • *

    Au “kuwasambaza.”

Marejeo

  • +2Nya 11:5, 11

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 11:1Mwa 49:27; 2Nya 14:8
2 Nya. 11:11Fa 12:21-24
2 Nya. 11:22Nya 12:15
2 Nya. 11:41Fa 11:31; 2Nya 10:15
2 Nya. 11:6Mwa 35:19; Mt 2:1
2 Nya. 11:6Amo 1:1
2 Nya. 11:72Nya 28:18
2 Nya. 11:71Sa 22:1
2 Nya. 11:81Nya 18:1
2 Nya. 11:81Sa 23:14
2 Nya. 11:92Nya 32:9
2 Nya. 11:9Yos 10:10; Yer 34:7
2 Nya. 11:10Yos 19:42, 48
2 Nya. 11:10Yos 14:14, 15; 2Sa 2:1
2 Nya. 11:14Hes 35:2, 3
2 Nya. 11:141Fa 12:31, 32
2 Nya. 11:151Fa 13:33
2 Nya. 11:15Law 17:7
2 Nya. 11:151Fa 12:26, 28
2 Nya. 11:16Kum 12:11; 1Nya 22:1; 2Nya 15:8, 9; 30:10, 11
2 Nya. 11:181Sa 16:6; 17:13
2 Nya. 11:202Sa 13:1; 18:33
2 Nya. 11:201Fa 15:1; 2Nya 12:16; Mt 1:7
2 Nya. 11:21Kum 17:17
2 Nya. 11:232Nya 11:5, 11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 11:1-23

Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati

11 Rehoboamu alipofika Yerusalemu, mara moja aliikusanya nyumba ya Yuda na kabila la Benjamini,+ mashujaa 180,000 waliozoezwa,* ili wapigane na Waisraeli na kuurudisha ufalme kwa Rehoboamu.+ 2 Kisha neno hili la Yehova likamjia Shemaya+ mtu wa Mungu wa kweli: 3 “Mwambie Rehoboamu mwana wa Sulemani mfalme wa Yuda na Waisraeli wote walio Yuda na Benjamini,⁠ 4 ‘Hivi ndivyo Yehova anavyosema: “Msipande kwenda kupigana na ndugu zenu. Kila mmoja wenu arudi nyumbani kwake, kwa maana nimesababisha mambo haya yatukie.”’”+ Basi wakalitii neno la Yehova na kurudi, nao hawakwenda kupigana na Yeroboamu.

5 Rehoboamu aliishi Yerusalemu na kujenga majiji yenye ngome huko Yuda.⁠ 6 Basi akajenga* Bethlehemu,+ Etamu, Tekoa,+ 7 Beth-suri, Soko,+ Adulamu,+ 8 Gathi,+ Maresha, Zifu,+ 9 Adoraimu, Lakishi,+ Azeka,+ 10 Sora, Aiyaloni,+ na Hebroni,+ majiji yenye ngome yaliyokuwa Yuda na Benjamini. 11 Pia, aliimarisha maeneo yenye ngome, akawaweka makamanda humo na kuwapa chakula na mafuta na divai, 12 naye akapeleka ngao kubwa na mikuki katika majiji yote mbalimbali; akayaimarisha kwa kiwango kikubwa sana. Na majiji ya Yuda na Benjamini yakaendelea kuwa yake.

13 Na makuhani na Walawi waliokuwa katika nchi yote ya Israeli wakamuunga mkono, wakaja kutoka katika maeneo yao yote. 14 Walawi waliacha malisho yao na miliki yao+ wakaja Yuda na Yerusalemu, kwa sababu Yeroboamu na wanawe walikuwa wamewaondoa ili wasiwe makuhani wa Yehova.+ 15 Kisha Yeroboamu akawaweka makuhani wake mwenyewe ili wahudumu mahali pa juu+ na kuwatumikia roho waovu wenye umbo la mbuzi*+ na ndama aliokuwa ametengeneza.+ 16 Na watu kutoka katika makabila yote ya Israeli waliokuwa wameazimia moyoni mwao kumtafuta Yehova Mungu wa Israeli wakawafuata mpaka Yerusalemu ili kumtolea dhabihu Yehova Mungu wa mababu zao.+ 17 Kwa miaka mitatu waliuimarisha ufalme wa Yuda na kumuunga mkono Rehoboamu mwana wa Sulemani, kwa maana walitembea katika njia ya Daudi na Sulemani kwa miaka mitatu.

18 Kisha Rehoboamu akamwoa Mahalathi binti ya Yerimothi mwana wa Daudi na wa Abihaili binti ya Eliabu+ mwana wa Yese. 19 Baada ya muda akamzalia wana hawa: Yeushi, Shemaria, na Zahamu. 20 Kisha akamwoa Maaka mjukuu wa Absalomu.+ Baada ya muda akamzalia Abiya,+ Atai, Ziza, na Shelomithi. 21 Rehoboamu alimpenda zaidi Maaka mjukuu wa Absalomu kuliko wake zake wengine wote na masuria+ wake, kwa maana alikuwa na wake 18 na masuria 60, naye akawazaa wana 28 na mabinti 60. 22 Kwa hiyo Rehoboamu akamweka Abiya mwana wa Maaka kuwa mkuu na kiongozi miongoni mwa ndugu zake, kwa maana alikusudia kumweka kuwa mfalme. 23 Hata hivyo, alitenda kwa busara* na kuwatuma* baadhi ya wanawe kwenye maeneo yote ya Yuda na Benjamini, kwenye majiji yote yenye ngome,+ akawapa chakula kingi na kuwatafutia wake wengi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki