Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Matayarisho ya kujenga hekalu (1-18)

2 Mambo ya Nyakati 2:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jumba la mfalme.”

Marejeo

  • +Kum 12:11; 1Nya 22:10
  • +1Fa 7:1

2 Mambo ya Nyakati 2:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wabeba mizigo.”

Marejeo

  • +1Fa 5:15
  • +1Fa 5:16; 9:22; 2Nya 2:17, 18

2 Mambo ya Nyakati 2:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jumba la mfalme la.”

Marejeo

  • +1Fa 5:1
  • +2Sa 5:11

2 Mambo ya Nyakati 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, mikate ya wonyesho.

Marejeo

  • +Kut 30:7
  • +Kut 25:30
  • +Hes 28:4
  • +Hes 28:9
  • +Hes 28:11
  • +Kum 16:16

2 Mambo ya Nyakati 2:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 4

2 Mambo ya Nyakati 2:6

Marejeo

  • +1Fa 8:27; Isa 66:1; Mdo 17:24

2 Mambo ya Nyakati 2:7

Marejeo

  • +1Fa 7:13, 14
  • +1Nya 22:15

2 Mambo ya Nyakati 2:8

Marejeo

  • +1Fa 5:6, 8; 2Nya 3:5
  • +1Fa 10:11
  • +1Fa 5:9
  • +1Fa 5:14

2 Mambo ya Nyakati 2:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Kori moja ilikuwa sawa na lita 220 (kilogramu 170 hivi). Angalia Nyongeza B14.

  • *

    Bathi ilikuwa sawa na lita 22. Angalia Nyongeza B14.

Marejeo

  • +1Fa 5:11

2 Mambo ya Nyakati 2:12

Marejeo

  • +1Fa 5:7
  • +2Nya 1:11, 12

2 Mambo ya Nyakati 2:13

Marejeo

  • +1Fa 7:13, 14; 2Nya 4:11-16

2 Mambo ya Nyakati 2:14

Marejeo

  • +2Nya 3:14
  • +Kut 31:2-5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 19

2 Mambo ya Nyakati 2:15

Marejeo

  • +2Nya 2:10

2 Mambo ya Nyakati 2:16

Marejeo

  • +1Fa 5:6, 8
  • +Yos 19:46, 48; Ezr 3:7
  • +1Fa 5:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1989, uku. 16

2 Mambo ya Nyakati 2:17

Marejeo

  • +2Nya 8:7, 8
  • +1Nya 22:2

2 Mambo ya Nyakati 2:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wabeba mizigo.”

Marejeo

  • +1Fa 5:17, 18; 1Nya 22:15
  • +1Fa 5:15, 16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 19

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 2:1Kum 12:11; 1Nya 22:10
2 Nya. 2:11Fa 7:1
2 Nya. 2:21Fa 5:15
2 Nya. 2:21Fa 5:16; 9:22; 2Nya 2:17, 18
2 Nya. 2:31Fa 5:1
2 Nya. 2:32Sa 5:11
2 Nya. 2:4Kut 30:7
2 Nya. 2:4Kut 25:30
2 Nya. 2:4Hes 28:4
2 Nya. 2:4Hes 28:9
2 Nya. 2:4Hes 28:11
2 Nya. 2:4Kum 16:16
2 Nya. 2:61Fa 8:27; Isa 66:1; Mdo 17:24
2 Nya. 2:71Fa 7:13, 14
2 Nya. 2:71Nya 22:15
2 Nya. 2:81Fa 5:6, 8; 2Nya 3:5
2 Nya. 2:81Fa 10:11
2 Nya. 2:81Fa 5:9
2 Nya. 2:81Fa 5:14
2 Nya. 2:101Fa 5:11
2 Nya. 2:121Fa 5:7
2 Nya. 2:122Nya 1:11, 12
2 Nya. 2:131Fa 7:13, 14; 2Nya 4:11-16
2 Nya. 2:142Nya 3:14
2 Nya. 2:14Kut 31:2-5
2 Nya. 2:152Nya 2:10
2 Nya. 2:161Fa 5:6, 8
2 Nya. 2:16Yos 19:46, 48; Ezr 3:7
2 Nya. 2:161Fa 5:9
2 Nya. 2:172Nya 8:7, 8
2 Nya. 2:171Nya 22:2
2 Nya. 2:181Fa 5:17, 18; 1Nya 22:15
2 Nya. 2:181Fa 5:15, 16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 2:1-18

Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati

2 Basi Sulemani akaagiza nyumba ijengwe kwa ajili ya jina la Yehova+ na nyumba* kwa ajili ya ufalme wake.+ 2 Sulemani akawaandikisha wanaume 70,000 kuwa vibarua,* wanaume 80,000 kuwa wakataji wa mawe milimani,+ na wanaume 3,600 kuwa waangalizi wao.+ 3 Pia, Sulemani akamtumia Hiramu+ mfalme wa Tiro ujumbe huu: “Nifanyie kama ulivyomfanyia Daudi baba yangu ulipomletea mbao za mierezi ili ajenge nyumba ya* kuishi.+ 4 Sasa ninajenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wangu, ili niitakase kwake, nifukize uvumba wenye manukato+ mbele zake, na pia kwa ajili ya mikate ya tabaka* inayotolewa daima+ na pia dhabihu za kuteketezwa, asubuhi na jioni,+ nyakati za Sabato,+ miezi mipya,+ na kwenye majira ya sherehe+ za Yehova Mungu wetu. Huu ni wajibu wa kudumu kwa Waisraeli. 5 Nyumba nitakayojenga itakuwa kuu, kwa maana Mungu wetu ni mkuu kuliko miungu mingine yote. 6 Na ni nani anayeweza kumjengea nyumba? Kwa maana mbingu na mbingu za mbingu haziwezi kumtosha,+ basi mimi ni nani hivi kwamba nimjengee nyumba isipokuwa iwe mahali pa kufukizia moshi wa dhabihu mbele zake? 7 Sasa niletee fundi aliye na ustadi wa kutengeneza vitu kwa kutumia dhahabu, fedha, shaba,+ chuma, sufu ya zambarau, nyuzi nyekundu, na nyuzi za bluu, na ambaye anajua kuchonga. Atafanya kazi Yuda na Yerusalemu pamoja na mafundi wangu stadi, ambao Daudi baba yangu aliwachagua.+ 8 Nawe uniletee mbao za mierezi, miberoshi,+ na misandali+ kutoka Lebanoni, kwa maana najua vizuri kwamba watumishi wako wana uzoefu wa kukata miti ya Lebanoni.+ Watumishi wangu watafanya kazi pamoja na watumishi wako+ 9 ili wanitayarishie mbao nyingi sana, kwa maana nyumba nitakayojenga itakuwa na ukuu usio wa kawaida. 10 Sasa tazama! Nitawaletea chakula watumishi wako,+ yaani, wapasua mbao wanaokata miti: nitawaletea kori 20,000 za ngano, kori 20,000* za shayiri, bathi 20,000 za divai, na bathi 20,000* za mafuta.”

11 Ndipo Hiramu mfalme wa Tiro akatuma barua hii kwa Sulemani: “Kwa sababu Yehova anawapenda watu wake, amekuweka kuwa mfalme wao.” 12 Kisha Hiramu akasema: “Na asifiwe Yehova Mungu wa Israeli, aliyeziumba mbingu na dunia, kwa sababu amempa Mfalme Daudi mwana mwenye hekima,+ aliyebarikiwa kuwa na busara na uelewaji,+ atakayejenga nyumba kwa ajili ya Yehova na nyumba kwa ajili ya ufalme wake. 13 Sasa namtuma fundi stadi, aliyebarikiwa kuwa na uelewaji, Hiram-abi,+ 14 mwana wa mwanamke wa kabila la Dani, lakini baba yake alikuwa Mtiro; ana uzoefu wa kutengeneza vitu kwa kutumia dhahabu, fedha, shaba, chuma, mawe, mbao, sufu ya zambarau, nyuzi za bluu, kitambaa bora, na nyuzi nyekundu.+ Anaweza kuchonga michongo ya kila aina na kubuni na kutengeneza kitu chochote anachoambiwa.+ Atafanya kazi pamoja na mafundi wako stadi na mafundi stadi wa bwana wangu Daudi baba yako. 15 Sasa bwana wangu tutumie ngano, shayiri, mafuta, na divai uliyotuahidi sisi watumishi wako.+ 16 Nasi tutakata miti kutoka Lebanoni,+ idadi yoyote unayohitaji, nasi tutakuletea magogo hayo yakiwa mafungu-mafungu ili yaelee baharini mpaka Yopa;+ nawe utayapeleka Yerusalemu.”+

17 Kisha Sulemani akawahesabu wanaume wote waliokuwa wakaaji wageni katika nchi ya Israeli,+ baada ya ile hesabu ya watu ambayo Daudi baba yake alikuwa amechukua,+ wakapatikana wanaume 153,600. 18 Kwa hiyo akawaweka watu 70,000 kati yao kuwa vibarua,* 80,000 kuwa wakataji wa mawe+ milimani, na 3,600 kuwa waangalizi wa kuhakikisha kwamba watu wanafanya kazi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki