FAMILIA
(Ona pia Baba; Babu na Nyanya; Familia ya Kambo; Ibada ya Familia [Funzo la Biblia la Familia]; Maisha ya Familia; Mama; Ndoa; Nyumba [Familia]; Ukoo, Watu wa; Wajane; Wajane Wanaume; Wajibu [Majukumu]; Wake; Watoto; Watoto, Kuwalea; Waume; Wazazi)
(Kuna kichwa kidogo: Manukuu)
agano la Sheria: cl 135
amani katika familia: w07 9/1 29-30; w06 8/1 16-17; w01 9/1 11; w97 6/15 20-25; fy 128-141
baraka: w00 7/15 4-5
burudani:
wajibu wa wazazi: w10 4/15 22; w05 1/1 25; g98 7/22 31
familia kubwa: w99 2/15 9-12
familia ya Yehova: wt 184-189, 191; w96 7/15 10
kurudishwa katika familia ya Yehova: w10 1/15 5-6; jr 181; w08 3/1 8-10
umoja: w12 7/15 27-31; w96 7/15 10-20
familia yenye mafanikio: g 10/09 3-9, 14-17, 22-25; w07 1/1 6
familia za mzazi mmoja: g 11/12 3-10; g 10/09 26-27; w03 11/1 16-18; g02 10/8 3-12; w01 5/1 11; g00 2/8 3-11; g00 10/8 30; g00 10/22 30; fy 103-115
baba wanapoacha familia: g04 8/22 3; g03 5/22 28; g00 2/8 4-7; g00 11/22 13-15; g00 12/22 25-27
idadi inaongezeka: w98 4/1 4-5
kichwa cha familia: g04 7/8 27
kupata riziki: fy 105-106
kushinda upweke: fy 110-113
kuwalea watoto: g 11/12 9; fy 105
kuwasaidia watoto: jd 149-151; km 11/02 8
makala za Amkeni! zathaminiwa: g03 5/22 30; g96 5/22 30
watoto katika familia za mzazi mmoja wanaweza kuwa wenye furaha: yp2 208-214
watoto maskini: g00 2/8 7
watoto wanavyoathiriwa: g00 2/8 7
watoto wanavyoweza kumsaidia mzazi: fy 112
wazazi ambao hawajafunga ndoa: g00 2/8 5-6
wengine wanavyoweza kusaidia: g 11/12 4-6; w10 12/1 22-24; km 6/99 3; fy 113-115
wote wanapaswa kuelewa majukumu yao: g 11/12 5; fy 106-107
familia zenye mzazi au watoto wa kambo: g 4/12 2-9; w02 3/15 11; w99 3/1 3-7; fy 136-139
kupambana na hisia wakati mzazi anapooa au kuolewa tena: yp1 34-39
mapendekezo kwa wazazi wa kambo: g 4/12 3-5
uhusiano pamoja na watoto wa kambo: g 4/12 9
uhusiano pamoja na wazazi wa kambo: g 4/12 9
familia zilizogawanyika: w12 2/15 26-30; w10 5/15 13-14; w09 12/15 28; bt 95; w05 3/1 18-20; w03 4/1 22; g99 8/8 20; w96 8/1 18-19; w96 10/15 21-22; fy 129-136
haki za mzazi asiye mwamini: ed 24-25; g02 10/8 7-8
kudumisha amani: w12 2/15 26-28; w09 10/15 8
kumsaidia mtu wa familia asiye mwamini kuikubali kweli: w12 2/15 28-30; km 11/10 5-6; w96 8/1 18-19
kuwalea watoto: w02 8/15 30-31; w98 5/15 7-9; w96 10/15 22; fy 133-134
kuwasaidia watoto: jd 149-151; km 11/02 8
familia zilizovunjika:
kuwakaribisha nyumbani watu wa familia zilizovunjika: w96 10/1 15
watoto wanavyoathiriwa: yp1 28-29
familia zinavyoathiriwa na—
Intaneti: g 3/07 4-5
Krismasi: g 1/09 30
matumizi ya dawa za kulevya: g99 11/8 6
waonevu (wadhalimu) kazini: g03 8/22 7
familia zina wajibu wa kutoa hesabu mbele za Yehova: w96 9/15 20
hali ya kiroho: w09 12/15 9; w05 6/15 20-22; w01 5/15 21-26; w99 2/15 10-12
kuwa na jicho rahisi: w11 5/15 11-12
miradi ya kiroho: w11 5/15 13-14
ratiba nzuri ya mambo ya kiroho: km 11/02 5-6
usawaziko kati ya hali ya kiroho na kazi ya kuajiriwa: w09 12/15 9
huduma ya shambani: km 8/07 1; w04 6/1 17; km 11/02 6
kufanya mipango hususa: km 5/05 4
kujitayarisha pamoja: km 11/02 6; w99 7/1 21-22
kuwahubiria watu wa ukoo: w12 3/15 13-14; km 6/11 1; km 12/04 8
ushirikiano: km 4/99 8
jamaa: g00 1/8 28; fy 7-8
watu wa jamaa (ukoo) wasio waamini: g04 8/22 30; g03 11/8 26-27
jeuri: jd 121-123; g01 11/8 3-12; w98 11/1 3; w96 2/15 3; fy 147-151
mambo yanayochangia: g01 11/8 5-7
suluhisho: g96 5/22 28-29
kanuni za Biblia: w02 2/15 6; la 5-6; w97 6/15 23-25; ba 22-24; fy 10-12, 26, 38, 50, 63, 75, 89, 102, 115, 127, 136-137, 141, 152, 162, 172, 182-188
kichwa cha familia: w10 5/15 13; w10 8/1 12-13; w09 7/15 8-9; lv 41; g 1/08 28-29; od 207; g04 7/8 26-27; w02 3/15 10-11; cl 99-100; w97 6/15 24; fy 31-34, 164-166, 185-186; g96 10/22 10-11
kufikiria maoni na mapendekezo ya wengine: w08 3/15 7
kuilinda familia na magenge ya wahalifu: g97 3/8 7
kuiruzuku familia: w12 2/15 7; w07 5/1 20-21; cf 163-165, 167, 179; w05 6/15 18-23; w04 7/15 30; w97 8/15 19-20; w96 10/15 22-23
kuandika wasia: w98 1/15 19-22; w97 8/15 19
mtu wa familia anapokuwa mgonjwa: w97 8/15 19-20
nchi zinazoendelea: g98 5/22 18-20; w96 10/1 29-31
kujenga familia: w09 12/15 9; g 10/09 9; w07 4/1 6-7; g 8/07 3-9; jd 124-137; w05 5/15 8-9; w01 5/15 21-26; la 5-6; w98 4/1 6-8
kufikiria hisia za wengine wakati wa kusema: w08 1/1 10-12
kufuata sheria ya Kristo: w96 9/1 20-21
kuijenga familia kwa utambuzi: w06 9/15 27-28; be 31-32; w97 3/15 14
kuimarisha familia kiroho: km 4/02 8
kumtanguliza Mungu: w05 5/15 8-9
kuonyesha upendo kwa maneno na matendo: w11 5/15 8; w02 12/15 26-29
kupanda kwa wingi: km 6/02 1
kustawisha uhusiano wa karibu: w12 12/1 7
kutanguliza familia: g 10/09 3
kutanguliza mambo ya kiroho: km 12/98 3-4
kutimiziana wajibu: w02 11/1 10
kutumia wakati pamoja: w99 5/15 4-6, 31
kuwa mwenye usawaziko: g 10/09 7
kuwapongeza watoto: w10 1/15 20
kuzingatia sifa nzuri za watu wa familia: w03 6/15 19-21
pongezi: lv 141; w06 1/1 19; fy 49-50
kula pamoja: g 2/11 29; w10 1/15 19; g 1/10 13-15; g 8/07 7; g 11/06 13; w05 1/1 32; g00 10/22 29; g99 1/8 29; g99 8/22 29
kulinda familia na ushawishi mbaya: w08 10/1 21; w06 4/1 9; w05 4/1 13-19; w03 2/15 26-27; w98 7/15 3-6; fy 90-102
kuwalinda watoto wasidhulumiwe kingono: g 2/11 32; w10 11/1 13; w08 10/1 21; g 10/07 9-11; lr 170-171; g97 4/8 14; w96 12/1 13-14; fy 60, 62
kumsamehe mtu wa familia: g 10/09 8
kupanga uzazi: fy 52-53; g96 10/8 12-14
kuvunjika kwa familia: g 9/09 5-6, 9; g05 4/8 5-7; w04 8/15 3-4; g04 6/22 28-29; w01 6/1 3-4; w99 1/1 3; g99 6/8 29; w98 4/1 3-5; w97 6/15 20-22; g97 2/8 28; fy 7-10; g96 1/22 28-29; g96 2/8 28
baba wanaopuuza wajibu wao: w99 1/1 4
Bolivia: g98 12/8 28
Brazili: g96 5/22 28-29
Italia: g96 6/22 29
Japani: g 9/09 6; w97 6/15 21; w97 9/1 3
Uingereza: g01 5/8 29
kuwa mwenye kujizuia nyumbani: w97 6/15 23; fy 149-150, 184-185
kuwasaidia wanaume katika familia wafikie mapendeleo: w11 11/15 31
kuwastahi watu wa familia: w98 4/1 29-30
kuwa tayari kukubali maoni ya watu wengine wa familia: w08 3/15 6-7
kuwatendea watu wa familia kwa adabu: w09 6/15 17-18; be 200
kuwatendea watu wa familia kwa fadhili: w04 4/15 18-19
kuwatendea watu wa familia kwa upole: w03 4/1 21-22
kuwatunza watu wa familia:
wajane: w01 5/1 5
walio wazee au wagonjwa katika familia: w11 12/15 29; w10 5/15 17-19; w08 8/15 18; w06 6/1 6; g00 5/22 3-12; w99 12/1 24; w98 8/1 27-28; g98 2/8 8-11; w97 9/1 3-7; fy 116-127, 149, 173-182
maana ya ‘kuichukia’ familia (Lu 14:26): w08 3/15 32
maelezo: w11 5/15 7-15; w05 5/15 8-9; bh 134-143; od 207-208; wt 151-158; fy 5-191; rq 16-17
maisha ya familia: g 8/07 4; g97 8/8 8-11
amani: w10 1/15 20
faragha: g 10/07 10
kutohukumiana: cl 163-164
umuhimu wa hali nzuri kwa vijana: g04 9/22 28; g01 9/8 9; g98 11/8 31
umuhimu wa hali nzuri kwa watoto: g98 1/22 29
utotoni: g03 4/22 3-10; g03 12/22 30
maisha ya familia yenye furaha: w11 10/1 16-17; w09 11/1 16-17; w06 5/15 27-28; jd 89-90; bh 134-143; w97 6/15 23-25; ba 23; fy 5-6, 10-12, 183-184; g96 10/22 11
mambo ya fedha: g 9/11 7-8; fy 140-141; g96 12/22 3-12
kama inafaa kuhamia nchi nyingine ili kufanikiwa kiuchumi: g 5/07 10
kuishi kupatana na mapato ya familia: g 7/10 6-9; g 6/07 6-7; w03 8/1 5; fy 39-42
kulipa madeni: g 9/11 6; g96 12/22 12
kupanga urithi wa mali: g98 12/8 24-27
ushirikiano kuhusiana na mambo ya fedha: w09 8/1 10-12; w98 4/1 7-8; fy 140-141
mambo yaliyoonwa:
familia yawatendea kwa urafiki majirani wenye madharau: w05 11/1 14
familia zaungana kwa sababu ya kweli ya Biblia: w02 4/15 21; w99 1/1 4-5
hatimaye wenzi wasio waamini huvutiwa: w12 2/15 29-30
kweli ya Biblia yasaidia familia: w03 9/15 8-9
maisha ya familia yabadilika: w00 1/1 4
maisha ya familia yaboreka: w12 7/1 12-13; w03 5/15 8-9; w00 11/15 7; w99 1/1 3-5; w99 4/1 5-6
Mashahidi Waromani (Wajipsi) waishauri familia: g 10/06 26
Mkatoliki awasifu Mashahidi: g97 4/22 16
mke pekee abaki katika kweli: w02 8/15 28
mkurugenzi wa shirika la mfuko wa hazina ya familia: yb10 62-63
mtu aliyeacha mgodi wa dhahabu ili atunze familia: w08 2/15 17
mtu wa familia aliyetengwa: w12 4/15 12; w11 2/15 31-32; w11 7/15 32
mume na watu wa jamaa wajifunza: w00 12/1 8
mvulana mwenye miaka 12 ambaye baba yake aliacha familia: g97 5/22 19
mwalimu mwenye matatizo ya familia: g97 4/8 32
mwenendo wa watoto waboreka: w99 1/1 5
upinzani wa familia haukufanikiwa: yb12 68-69
ushirikiano waleta matokeo mazuri: w09 7/15 28
waliokataliwa na familia kwa sababu ya kweli: g96 3/22 30
waliovumilia na kushinda upinzani: yb08 242-243; yb04 50
watu 20 wa familia moja wakubali kweli: jv 514
watu 40 wa familia moja wakubali kweli: w09 9/15 31
watu 80 wa familia moja wakubali kweli: jv 514
watu wa familia wakubali kweli: w12 2/15 29-30; w03 7/1 7
watu wengi wa familia wakubali kweli: yb07 56-58
waume na wake waliotengana waungana tena: yb12 78-79; w01 1/1 14; la 10; w00 11/15 6; g00 5/22 20-23; g98 3/8 32; fy 153, 161-162
waume waliokubali kweli: w12 2/15 29-30; yb12 86; w10 9/1 16-17
wazazi walimwacha alipozaliwa: w98 1/1 4-5
wazazi wapinzani: w05 10/15 18; w03 12/1 24-26
mambo yanayofanywa kwa ukawaida: g 8/07 7
mamlaka katika familia: lv 41-43; w06 4/1 19; w00 6/15 14-16; w00 8/1 5-6
maneno au matendo ya jeuri: jd 121-123
maoni ya Mashahidi: jv 175-178
masimulizi ya maisha:
Familia Iliyonipenda Kikweli: g96 3/22 30
Hatimaye Familia Yetu Yaungana!: w06 8/1 11-15
Kumtumikia Yehova Tukiwa Familia Iliyoungana: w96 10/1 24-28
Loida Aacha Kukimya: g01 1/8 19; g00 5/8 22-24
Namshukuru Yehova kwa Ajili ya Wanangu Watano: g99 3/22 20-23
Pigano Letu la Kubaki Wenye Nguvu Kiroho: w06 12/1 12-16
Shangwe na Matatizo ya Kuwalea Watoto Wanane Ili Wafuate Njia za Yehova: w06 1/1 8-12
Yehova Alinisaidia Kukabiliana na Matatizo: w06 10/1 11-15
matatizo: fy 142-152
kutosema maneno yanayoumiza wakati wa kuzungumzia matatizo: w06 7/1 14; w05 5/15 29-30; w97 7/15 12-13
madeni: w12 11/1 18-21
visa katika Biblia: jd 51-52, 128-131; w03 6/15 20; w02 2/15 16
wivu: g03 11/22 25-27
mawasiliano: w10 6/15 22-23; w09 6/15 17-18; w97 6/15 24; fy 186
kati ya mume na mke: w11 8/1 11-12; w10 6/15 22-23; w10 8/1 10-12; w08 3/15 9; g 7/08 5-8; w07 4/15 10-11; w06 4/15 3-7; w05 3/1 14; g05 2/8 8; w99 7/15 21-23; fy 35-38
kukubali makosa: w09 6/15 17
pamoja na watoto: yp1 290-296; w10 1/15 18-19; w10 2/15 31-32; w10 6/15 23; w08 8/1 10-12; w07 6/15 18-19; w07 9/1 25; w07 9/15 8; g 2/07 19; g 8/07 8; g 10/07 11; g05 2/8 8-9; w04 6/15 5; w01 10/1 10-11; g00 5/22 29; g97 8/8 8-9; fy 56-58
vijana pamoja na wazazi: g 5/12 19-21; yp1 7-13
mazungumzo: w05 6/1 32; w03 1/15 25; w03 9/15 13-14; g03 9/22 29; be 62
mazungumzo kuhusu andiko la siku: km 5/05 5; w96 12/15 18
mifano:
baba aacha kazi ili arudi nyumbani kuishi pamoja na familia yake: yb07 93-94
baba aacha kazi ili atumie wakati mwingi zaidi pamoja na watoto: g04 8/22 4, 6-7
barua za uthamini kutoka kwa watoto: g 11/08 8; g99 3/8 25
familia kubwa: w99 2/15 10-12
familia tajiri yakabili umaskini: g 1/10 30
familia zilizokumbwa na kimbunga: g 10/09 23
familia zinazotumika katika eneo lenye uhitaji mkubwa: w12 1/1 7; w09 4/15 20-22; w07 5/1 17-18; w02 10/1 27; w01 3/1 24-25
kuendelea kuwa imara kiroho: w06 1/1 10
mama asiyejiweza kwa sababu ya ugonjwa: g 10/09 24
watu wa familia wanaohubiri pamoja: km 5/07 4
wazazi wenye vijana wanaobalehe: g 10/11 23
mifano katika Biblia:
Noa na familia yake: w11 3/15 25-26; km 6/08 1
Shafani na familia yake: w02 12/15 19-22
mikutano: km 5/05 4; w99 7/1 18
kutayarisha pamoja: km 11/02 6; w00 3/15 19; w99 7/1 19-20; w99 8/15 29
ushirikiano: w09 7/15 28; km 11/02 6; km 3/99 4
mtu wa familia anapokufa: we 3-31; w03 1/15 12-13; w02 12/1 31; w01 4/15 22-24
mambo ambayo vijana wanaweza kufanya: yp1 111-118; g 8/09 10-13; w08 7/1 5, 7-9; we 14-17; g03 6/22 14
mambo ambayo wazazi wanaweza kufanya: we 14-17, 19
mambo ambayo wengine wanaweza kufanya: g 7/12 15; w10 5/1 8-12; w10 11/1 9-11; w08 7/1 9; we 20-25; w00 4/15 7; g00 5/22 12
mtu wa familia anapomwacha Yehova: w07 1/15 17-20; w06 9/1 17-21
mwenendo mtakatifu katika familia: w96 8/1 17-19
nyakati za Biblia:
ubora wa kanuni za Biblia: g97 8/8 10
ratiba: km 5/05 3-6
sheria za nyumbani: yp1 297-302; w10 11/15 3-4; yp2 181-189; w07 9/1 23-24; g 8/07 6; w00 11/15 28; w96 9/1 20-21
tafrija: w05 1/1 25; g05 5/8 14; w04 6/15 6; fy 57-58, 97-101; g96 9/22 22-23
uchunguzi:
kuhusu mambo yanayofanya familia ziwe zenye nguvu: ba 23; g96 10/22 11
ufafanuzi: fy 6-7
ujitiisho katika familia: od 162
ujitoaji-kimungu katika familia: fy 183
ulevi sugu katika familia: fy 142-147
umuhimu: w98 4/1 6
mambo mengine yanaweza kuwa muhimu zaidi: w97 2/15 14-15
unyofu katika familia: lv 162-163
upendo katika familia: w12 7/15 30-31; w09 7/15 12-13; g 8/07 4; g 10/07 11; kp 29-30; lr 222-226; w01 1/1 14-15; w97 6/15 24-25; g97 8/8 3-4, 8-9; w96 8/1 17-18; fy 70, 74, 81, 85, 101-102, 119, 148-149, 186-188
kuonyesha upendo kwa maneno na matendo: w11 5/15 8; w02 12/15 26-29
upinzani wa familia: rk 28; w03 6/15 19
Wakristo wanachopaswa kufanya: w05 5/15 28-29
usafi na utaratibu: g 10/11 13; w08 12/1 11-12; od 137-138; g05 6/8 19-22; g98 4/8 11; g98 5/22 20; fy 45-49
usawaziko kuhusu kazi na maisha ya familia: g 1/10 5-6
ushikamanifu katika familia: w05 9/1 4-6
ushikamanifu kwa familia wakati wa kuchagua dini: g 7/09 29
ushirikiano: w09 7/15 28
kusaidiana kufanya kazi za nyumbani: fy 42-45, 105, 112, 176
mambo ya fedha: w09 8/1 10-12; w09 8/15 23; w98 4/1 7-8; fy 140-141
mambo ya kiroho: km 3/99 4
mikutano ya kuzungumzia mambo ya familia: fy 176
wahamiaji:
kuwalea watoto ili wawe Mashahidi: w02 10/15 22-26
wakati ujao: fy 183-191
watoto wengi wanahama nyumbani: g03 9/8 29
watu wa familia waliotengwa au waliojitenga na ushirika: w12 4/15 12; w11 7/15 30-32; lv 208-209; km 8/02 3-4; w01 10/1 16
watu wazee katika familia:
kutendewa vibaya kwa: g 10/12 28
kuwatunza: w08 8/15 18; w04 5/15 15-17; w99 12/1 24; w97 9/1 3-7; fy 149, 173-182
kuwatunza wazee wanaokaribia kufa: g 7/11 15-17
wanathaminiwa: w07 6/1 27-28
wazee Wakristo wenye familia: w06 5/1 19; w96 10/15 15-24
Yehova ndiye aliyeanzisha mpango wa familia: w06 4/1 8-9
Yesu ni mfano kwa familia: w09 7/15 7-11; w02 3/15 10-11
zawadi kutoka kwa Mungu: w01 9/15 20
familia “hupata jina” kutoka kwa Yehova (Efe 3:14, 15): w96 1/15 31; w96 7/15 10
Manukuu
chanzo cha maana zaidi cha furaha: w98 4/1 6
usalama na kiwango cha juu cha maisha ya familia ndiyo mambo makuu ya ustaarabu: w98 4/1 6