WANAWAKE
(Ona pia Binti; Dada; Hedhi; Komahedhi; Mabikira; Mama; Mimba; Mwanamke [Ufunuo 12]; Mwanamke wa Yehova; Uzazi; Wajane; Wake)
Afrika:
mabingwa wa kubeba mizigo: g96 4/8 29
afya: g98 4/8 10-11
kansa ya mapafu: g01 6/8 29
kifua kikuu: g99 1/8 28
magonjwa ambayo wanawake wanaofanya mazoezi kupita kiasi wanaweza kupata: g05 6/22 29
ugonjwa unaosababishwa na virusi vya papillomavirus: g05 6/22 21-23
ugonjwa wa moyo: g01 6/8 29; g99 9/8 28; g98 12/8 28
agano la Sheria: w12 9/1 5-7; w07 1/15 4-5
sheria kuhusu urithi: w12 9/1 7; w96 11/15 26-27
aliye kichwa cha mwanamke: rs 401
“chombo dhaifu” (1Pe 3:7): w05 3/1 17-18
elimu: w12 9/1 6; g98 4/8 10
hali ya maisha ya wanawake: g98 4/8 3-5
kuboresha maisha: g98 4/8 10-11
harakati za kutetea haki za wanawake: w07 2/15 18; g04 3/22 7
wazee wako macho kutambua mwelekeo huu kutanikoni: re 50
huruma: g98 4/8 9-10
idadi ya wanawake: g96 7/22 28
kazi: g98 4/8 4-5, 7-11
Afrika: g98 4/8 6
kazi ya kuajiriwa: w08 2/1 28-31; g02 4/8 5-7; g98 4/8 7-8
idadi walioajiriwa kazi (Marekani na Ulaya): g98 4/8 29
jinsi uhusiano pamoja na watu wa familia unavyoathiriwa: g05 4/8 6
kazi za nyumbani baada ya kazi ya kuajiriwa: g 1/10 3
kusumbuliwa kingono: g96 5/22 3-10
matangazo yanayokusudiwa kuwashawishi wanawake vijana: g02 2/22 8; g98 10/8 29
vishawishi vya kuwa na uhusiano wa kimahaba na wafanyakazi wenzao: yb08 23; jd 94; w02 8/15 22
kazi za nyumbani:
tofauti kati ya wanawake na wanaume: g96 6/8 28
kufunika kichwa: lv 44, 209-212; rs 402-404; w02 7/15 26-27; w02 8/15 29
kutafsiri kwa lugha ya ishara mikutanoni: w09 11/15 12-13
wakati ambapo si lazima wanawake wafunike kichwa: lv 210-211
wakati wa kuongoza mafunzo ya Biblia: lv 210; km 3/05 4
wanawake wanapoongoza mikutano ya utumishi wa shambani: lv 210
kujua kusoma na kuandika: g98 4/8 10
kutaniko la Kikristo: w07 1/15 5-6; re 49-50; rs 402-404
dada wanapokutana na wanaume wanaopendezwa na ujumbe wa Biblia: km 8/09 4; km 5/97 2
Fibi “mhudumu” (Ro 16:1): g 7/10 28
hawajawekwa kufundisha kutaniko: g 7/10 29; rs 402
kuhamia nchi ya kigeni ili kuhubiri: km 8/11 4-5
‘kujifunza wakiwa kimya’ (1Ti 2:11, 12): rs 402
‘kukaa kimya’ (1Ko 14:34): w12 9/1 9; w06 3/1 28-29
kuongoza mafunzo ya Biblia: lv 210; km 3/05 4; rs 403-404; w02 7/15 27
“kuwa kimya” (1Ti 2:12, 13): w07 1/15 4
makutaniko yasiyo na ndugu: od 73
uvutano usiofaa wa wanawake: re 48-51, 53-54
wajitiisha kwa wale wanaoongoza: w07 2/15 20
“walimu wa yaliyo mema” (Tit 2:3): w99 3/15 11
‘wanabaki salama kupitia kuzaa watoto’ (1Ti 2:15): w08 9/15 30; w05 5/1 29
wanathaminiwa: km 2/00 1
kuumbwa kwa mwanamke: w00 11/15 25
‘kikamilisho cha mwanamume’ (Mwa 2:18): w12 9/1 4-5; w12 10/1 25; w07 1/15 3; g05 2/22 10-11; rs 400
kutoka katika ubavu wa mwanamume (Mwa 2:21, 22): w11 1/1 6-7; w09 9/1 13
kuwastahi wanawake:
makala za Amkeni! zathaminiwa: g03 10/8 31
“kuwatahiri” (kuwakeketa): w06 1/1 28; km 3/06 3-4; g05 2/22 8; g97 10/8 28; g97 12/8 29
lishe: g98 4/8 10-11
maelezo: w12 9/1 3-11; rs 400-404
magazeti kwa ajili ya wanawake: g04 8/8 25-27
makala za Amkeni! zathaminiwa: g98 12/22 30
mambo yaliyoonwa:
mwanamke aliyefungwa kwa sababu ya mauaji: w02 2/1 27-28
mwanamke avutiwa anapoona jinsi Wakristo wanavyowatendea wanawake: g98 4/8 14
ujenzi wa Jumba la Ufalme: yb06 219; g00 2/8 30
ujenzi wa ofisi ya tawi: g99 6/22 26-27
maoni kuwahusu wanawake: w12 9/1 4; g98 4/8 3
Asia: g01 7/8 28; g96 7/22 28
maoni ya Biblia: w12 9/1 4-7; g 1/08 4-7; re 49-50; g05 11/8 18-19; rs 400-404; w03 11/1 8-18
Paulo: w03 11/1 14
ujitiisho: g05 11/8 19
wajibu wenye kuheshimika: w07 1/15 4-6
mapambo: w07 2/15 21; g05 10/8 26-27; rs 404
matusi: g96 8/8 28
mavazi:
kaba (lappa, genwu) (Afrika): g97 9/8 24-25
mfano kwa malaika: w09 5/15 24; lv 211-212; rs 403
mifano (katika siku zetu): w03 11/1 14-18
mifano katika Biblia: w03 11/1 8-14, 17
Abigaili: w09 7/1 18-21; w03 4/1 19; w03 11/1 10-12
Dorkasi: w11 8/1 14-15; bt 67; w08 2/15 10-11; w02 11/15 11; w96 9/15 14-15
Esta: w12 2/15 13; w03 11/1 18; w97 6/15 16
Fibi: g 7/10 28
Lidia: bt 132; yp2 97; w07 3/15 32; w02 11/15 12; w96 9/15 14, 26
Maria (mama ya Yesu): w09 1/1 3-9; rs 181
Prisila: w03 11/1 14
Rahabu: w12 2/15 11-12; w10 1/15 7-8; w09 8/1 24-25; bm 11; w03 11/1 9-10
Rebeka: w10 2/1 24-25; w04 4/15 8-11
Ruthu: w12 7/1 23-28; w12 10/1 19-24; yp1 215; w10 1/15 8; w05 3/1 28; w02 6/15 32
Sara: w12 1/1 8
Shifra na Pua: w03 11/1 8-9
muda ambao wanawake wanatarajia kuishi:
unaongezeka: g97 4/8 31
“mwanamke mgeni” (Met 2:16-19; 5:3): w06 9/15 17; w99 11/15 27
mwanamke Msamaria kwenye kisima (Yoh 4): w09 8/15 9
‘mwanamke mwenye hekima hujenga nyumba yake’ (Met 14:1): w04 11/15 26; w97 3/15 14
nchi maskini:
wanawake wanaokufa kwa sababu ya matatizo ya ujauzito: g 5/11 29
neno la Kiebrania: rs 400
ngono:
mtazamo umebadilika duniani kote: g97 6/8 6
washurutishwa kushiriki katika matendo yanayohusisha ngono: g00 5/22 28
nyakati za Biblia:
kazi za nyumbani: w10 2/1 8-10
maoni ya Wayahudi: w12 9/1 7-8; cf 141; cl 155-156; ct 149
mapokeo ya Wayahudi: w12 9/1 10; cl 152; w99 9/1 30
vipodozi: w12 12/1 24-26
“wanawake wenye vyeo” (Mdo 17:4): w12 6/1 19
picha au habari chafu (ponografia) kwa ajili ya wanawake: g04 8/22 29; g99 1/22 29
sifa nzuri: w04 4/15 9-11
kuzitumia kwa usawaziko: w99 12/1 29
sifa za kike: w97 6/15 14-16, 18-19
ubaguzi dhidi ya wanawake: w12 9/1 3, 7; g98 4/8 3-5, 12; g98 11/22 8-9; g97 4/8 31
ugonjwa wa mifupa: g 6/10 19-21; g02 5/8 28; g02 11/22 28; g97 6/8 16-17
manufaa ya kufanya mazoezi ya mwili: g96 1/8 29
uhalifu: g96 8/8 28
ukandamizaji: rs 400-401
umaskini: g98 4/8 4, 8
upweke: w02 3/15 26-28
urefu wa maisha:
mwanamke mwenye umri mkubwa zaidi: w10 12/1 12-13; g98 2/22 28
urembo:
wanawake wanavyoathiriwa na picha za wanawake wembamba: g 2/08 29
uvutaji wa sigara: g98 4/8 11
idadi ya wanawake wanaokufa: g96 4/22 28
uwezo wa kusikiliza: g01 8/8 29
viatu: g03 3/8 21; g97 10/8 26-27
wahudumu:
maoni ya Biblia: g 7/10 28-29; bt 177; rs 402
wakati wao ujao: g98 4/8 12-14
wanaotendwa kikatili (kwa jeuri): g 1/08 3; g99 6/8 29; g97 1/8 31
jeuri nyumbani: g 12/12 28; g05 8/8 6-7, 9; g02 6/8 30; g02 6/22 30; g02 7/8 30; g02 12/22 28-29; g01 11/8 3-12
watawa wanawake wanajifunza karate ili kujilinda: g96 12/8 28
wanawake wajeuri:
idadi ya wanawake wajeuri inaongezeka: g96 2/22 28
magenge: g96 10/22 31
wanawake wa mfano:
mke wa Mwana-Kondoo (Ufu 21): w10 7/15 5; w07 2/15 13; re 275-278, 301, 305-313
mwanamke aliyepambwa jua (Ufu 12): re 177-180, 183-186
mwanamke anayetoa nuru (Isa 60): re 309
“mwanamke huru” (Ga 4:30, 31): w06 3/15 11
“mwanamke mwenye ujinga” (Met 9:13-18): w01 5/15 30-31
“mwanamke tasa” (Isa 54:1-17): ip-2 215-230
Mwanzo 3:15: w12 6/15 8; w09 5/15 22; re 10-12; w99 4/15 10-11; w96 6/1 9-11
“tamaa ya wanawake” (Da 11:37): dp 276
“Yerusalemu la juu” (Ga 4:26): w06 3/15 11; re 178; ip-2 216
“yule mwanamke Yezebeli” (Ufu 2:20): re 48-54; w03 5/15 16
wanawake wanaojiua:
mambo yanayochangia: g97 3/8 28-29
wanawake wanathaminiwa: g98 4/8 7-11
wanawake hutimiza daraka muhimu katika miradi yote ya maendeleo (manukuu): g05 2/22 5
Wenyeji wa Asili wa Amerika (Wahindi Wekundu): g96 9/8 9
Yehova anawajali wanawake: w12 9/1 5-7; g 1/08 6; g98 4/8 13
Yesu alivyowatendea wanawake: w12 9/1 8-11; w10 5/15 9; w08 12/1 6; g 1/08 4-5; cf 141; g05 11/8 19; w03 8/15 7-8; cl 155-156; g00 4/22 15; w99 9/1 30-31; g98 4/8 13
amfufua mwana wa mjane: w08 3/1 23; w07 5/1 6; cf 155-156; w05 5/1 6; lr 185-186
amponya mwanamke anayetokwa na damu: w10 5/15 9; w10 8/15 29-30; w09 9/15 9; g 1/08 4-5; w03 8/15 25; w02 8/15 13; w01 12/15 19-20; w98 8/1 11; w96 9/1 16
Maria na Martha: w11 4/1 11-13
mwanamke aliyeosha miguu ya Yesu kwa machozi: w10 8/15 6-7; cf 142; w03 8/1 29-30; g02 3/8 27; w01 12/15 16-17; w99 10/15 12
mwanamke Msamaria kisimani: w09 8/15 9; g 1/08 4; cf 40, 77, 79, 81; my 90; w99 6/15 23; ct 147-149; w97 2/1 31
“nina nini nawe, mwanamke?” (Yoh 2:4): w08 4/15 31; w06 12/1 30-31; w00 9/15 11
Yesu aliwatokea wanawake baada ya kufufuliwa: w12 9/1 10; g 1/08 5
Yesu amponya binti ya mwanamke Mfoinike: w10 10/15 4-5; w08 5/1 23; w03 8/15 25-26