Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 7/97 uku. 3
  • “Ni Nani Atakayekwenda kwa Ajili Yetu?”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Ni Nani Atakayekwenda kwa Ajili Yetu?”
  • Huduma Yetu ya Ufalme—1997
  • Habari Zinazolingana
  • Baraka za Huduma ya Painia
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1997
  • Je, Unaweza Kupanua Utumishi Wako?
    Huduma ya Ufalme—2009
  • Wanahitajiwa kwa Haraka—Wafanya Kazi Zaidi wa Mavuno!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1985
  • Je! Waweza Kufanya Zaidi Umheshimu Yehova?
    Huduma Yetu ya Ufalme—1993
Pata Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—1997
km 7/97 uku. 3

“Ni Nani Atakayekwenda kwa Ajili Yetu?”

Swali hili lilipotokezwa na Yehova, Isaya aliitikia haraka: “Mimi hapa, nitume mimi.” (Isa. 6:8) Kwa sababu mavuno ni mengi leo, mwito huohuo watolewa sasa. Wafanyakazi zaidi wa wakati wote—mapainia wa kawaida—wanahitajiwa kwa uharaka! (Mt. 9:37) Je, uko tayari kujitolea? Ikiwa ndivyo, Septemba 1, mwanzo wa mwaka wa utumishi wa 1998, ungekuwa wakati mzuri wa kujiandikisha uwe painia. Kwa nini usiombe wazee upate fomu ya ombi?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki