Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 1/99 uku. 2
  • Mikutano Ya Utumishi Kwa Januari

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mikutano Ya Utumishi Kwa Januari
  • Huduma Yetu ya Ufalme—1999
  • Vichwa vidogo
  • Juma Linaloanza Januari 4
  • Juma Linaloanza Januari 11
  • Juma Linaloanza Januari 18
  • Juma Linaloanza Januari 25
Huduma Yetu ya Ufalme—1999
km 1/99 uku. 2

Mikutano Ya Utumishi Kwa Januari

Juma Linaloanza Januari 4

Wimbo 36

Dak. 10: Matangazo ya kwenu. Matangazo yaliyoteuliwa kutoka katika Huduma ya Ufalme Yetu. Ikiwa saa za mikutano zilibadilika Januari 1, wakumbushe wote watumie vikaratasi vya kukaribisha watu vinavyoonyesha ratiba mpya.

Dak. 15: “Tumia Vizuri Vitabu vya Zamani.” Maswali na majibu. Taja vitabu vya zamani vilivyo akibani kwenu. Kazia baadhi ya mambo yenye kupendeza ya vitabu hivi, na ueleze jinsi yanavyoweza kutolewa kwa wengine. Tia moyo wote watoe vitabu hivi katika utumishi wa shambani na wanapotoa ushahidi kivivi hivi Januari. Tia ndani wonyesho mfupi wa utoaji sahili.

Dak. 20: Kufanya Uchaguzi wa Kisheria wa Kutotiwa Damu Kuhusu Mambo ya Kitiba (Mdo. 15:28, 29). Hotuba itolewe na mzee mwenye kustahili, inayotegemea barua ya Februari 15, 1997, na Desemba 1, 1998. Kadi ya Mwelekezo wa Mapema Kuhusu Tiba/Ondoleo la Hatia: Baada ya mkutano huu, Mashahidi waliobatizwa watapewa kadi mpya, na wale walio na watoto wadogo wasiobatizwa watapokea Kadi ya Utambulishi kwa kila mtoto. Kadi hizi hazitajazwa usiku huu. Zapaswa kujazwa kwa uangalifu nyumbani lakini ZISITIWE sahihi. Kutia sahihi, kushuhudia, na kuandika tarehe katika kadi zote kutafanywa baada ya Funzo la Kitabu la Kutaniko linalofuata, chini ya usimamizi wa kiongozi wa funzo la kitabu. Kabla ya kutia sahihi, hakikisha kwamba kadi zimejazwa kikamili. Wale wanaotia sahihi wakiwa mashahidi kwa kweli wanapaswa kuona mwenye kadi akitia sahihi kadi hiyo. Kwa kugeuza usemi ulio katika kadi hii kulingana na hali zao na masadikisho yao wenyewe, wahubiri wasiobatizwa wanaweza kuandika mwelekezo wao wenyewe wa kutumia na wa watoto wao. Viongozi wa funzo la kitabu wapaswa kutengeneza orodha ya kukagulia ili kuhakikisha kwamba wote walio katika kikundi chao wanapata msaada wanaohitaji kujaza kadi ya Mwelekezo wa Mapema Kuhusu Tiba/Ondoleo la Hatia. Kwa sababu ya ulinzi wa kisheria, kadi hiyo yapasa kujazwa kikamili.

Wimbo 61 na sala ya kumalizia.

Juma Linaloanza Januari 11

Wimbo 88

Dak. 15: Matangazo ya kwenu. Ripoti ya hesabu.

Dak. 15: “Rekebisho la Matakwa ya Saa kwa Mapainia.” Hotuba itolewe na mzee. Wapongeze mapainia katika kutaniko, na watie moyo wahubiri zaidi wachukue utumishi wa upainia-msaidizi na upainia wa kawaida, wakifikiria utendaji wa ziada katika Machi, Aprili, na Mei. Tia ndani habari kutoka nyongeza ya Huduma ya Ufalme Yetu ya Februari 1997 na ya Julai 1998.

Dak. 15: “‘Dhihirisheni Subira.’” Mazungumzo kati ya washiriki wa familia. Wanapitia njia wanazoweza kuonyesha subira kwa kiwango kikubwa katika huduma yao. Tia ndani maelezo yanayofaa kutoka kwenye Mnara wa Mlinzi, Juni 15, 1995, ukurasa wa 12.

Wimbo 135 na sala ya kumalizia.

Juma Linaloanza Januari 18

Wimbo 169

Dak. 5: Matangazo ya kwenu.

Dak. 13: “Kwenda Sambamba na Ongezeko la Kitheokrasi.” Hotuba itolewe na mzee wasikilizaji wakishiriki kutoa maelezo.

Dak. 12: “Waangalizi Wanaoongoza—Viongozi wa Funzo la Kitabu la Kutaniko.” Hotuba itolewe na kiongozi wa funzo la kitabu mwenye kielelezo kizuri, ambaye anapitia wajibu wake. Aonyesha jinsi ambavyo kazi hiyo huchangia maendeleo na hali njema ya kiroho ya kutaniko. Tia ndani maelezo ya msingi kutoka katika kitabu Tumefanywa Tengenezo Tutimize Huduma Yetu, ukurasa wa 43-45, 74-76.

Dak. 15: “Kuanzisha Mafunzo Katika Broshua Anataka.” Mazungumzo ya maswali na majibu.

Wimbo 197 na sala ya kumalizia.

Juma Linaloanza Januari 25

Wimbo 201

Dak. 10: Matangazo ya kwenu. Tia ndani Habari za Kitheokrasi.

Dak. 15: Jitayarishe Kuhudhuria Mkusanyiko wa Wilaya wa 1999. Mwandishi ashughulikia sehemu hii ya maswali na majibu kuhusu habari ya mkusanyiko katika nyongeza ya toleo hili la Huduma ya Ufalme Yetu.

Dak. 20: Je, Wewe Wachunguza Maandiko Kila Siku? Hotuba na mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Kila mwaka Sosaiti huandaa kijitabu Kuyachunguza Maandiko. Je, wewe binafsi au mkiwa familia hutumia vizuri kijitabu hiki? Eleza ni kwa sababu gani inanufaisha kuchunguza andiko la kila siku. Zungumzia maelezo yaliyo katika dibaji ya Kuyachunguza Maandiko Kila Siku—1999, ukurasa wa 3-4. Alika wasikilizaji wasimulie jitihada za pekee ambazo wamefanya ili kuchunguza andiko la kila siku na maelezo yake kwa uaminifu wakiwa mtu mmoja-mmoja au wakiwa familia.

Wimbo 225 na sala ya kumalizia.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki