Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 27
JUMA LINALOANZA DESEMBA 27
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 25-28
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo. Watie moyo wote waje na toleo la gazeti la Mnara wa Mlinzi la Januari 1, 2011, kwenye Mkutano wa Utumishi wa juma lijalo.
Dak. 10: Jinsi Muhtasari Unavyoweza Kutusaidia Katika Huduma. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 167 hadi ukurasa wa 168, fungu la 1. Ukitumia toleo la mwezi ujao, tia ndani onyesho la mhubiri akijizungumzia jukwaani. Katika onyesho hilo mhubiri huyo anatumia dakika chache kabla ya kwenda utumishi kujitayarisha kiakili kuhusu mambo atakayoyasema.
Dak. 10: Kichwa Chenye Mvi Ni Taji la Uzuri. (Met. 16:31) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka wa 2010, ukurasa wa 110, fungu la 1-3. Baada ya kuzungumzia kila moja ya mambo yaliyoonwa, waombe wasikilizaji waeleze mambo ambayo wamejifunza.
Dak. 10: Jitayarishe Kutoa Magazeti Katika Mwezi wa Januari. Mazungumzo. Tumia dakika moja au mbili kueleza mambo yaliyomo katika magazeti ya karibuni. Kisha chagua makala mbili au tatu, na uwaombe wasikilizaji wataje maswali na maandiko yanayoweza kutumiwa wakati magazeti hayo yanapotolewa. Panga maonyesho kuhusu jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.