HAZINA ZA NENO LA MUNGU | KUTOKA 19-20
Zile Amri Kumi Zinakuhusuje?
Wakristo hawako chini ya Sheria ya Musa. (Kol 2:13, 14) Kwa hiyo basi, zile Amri Kumi na Sheria ya Musa zina faida gani kwetu leo?
Zinatusaidia kufahamu maoni ya Yehova kuhusu mambo fulani
Zinatuonyesha kile ambacho Yehova anataka tufanye ili tumpendeze
Zinatusaidia kutambua jinsi tunavyopaswa kuwatendea wengine
Unajifunza nini kumhusu Yehova kutokana na zile Amri Kumi?