10 Kwa maana ilifaa kwamba yule ambaye kwa ajili yake na kupitia kwake vitu vyote vipo, katika kuleta wana wengi kwenye utukufu,+ alipaswa kumfanya Wakili Mkuu wa wokovu wao+ awe mkamilifu kupitia mateso.+
10 Kwa maana ilifaa kwa yule ambaye kwa ajili yake vitu vyote vipo+ na kupitia kwake vitu vyote vipo, katika kuleta wana wengi kwenye utukufu,+ amfanye Wakili Mkuu+ wa wokovu wao kuwa mkamilifu kupitia mateso.+