VITABU VYA KUKUNJWA
(Ona pia Biblia [Hati za Kale]; Kitabu cha Uzima; Vitabu; Vitabu vya Kukunjwa vya Bahari ya Chumvi)
Ezekieli ala kitabu cha kukunjwa (Eze 3:1-3): w10 2/15 8; w08 7/15 8-9; w07 7/1 12
hati za Biblia:
waliokuwa na hati za Biblia (karne ya kwanza): w11 6/15 18; w07 12/1 32
kitabu cha kukunjwa cha uzima: w09 2/15 5; re 298-300; rs 324
majina mengine yataandikwa wakati wa Utawala wa Miaka Elfu: re 298; wt 87
majina yanaweza kufutwa: re 300
majina ya wanaomsifu mnyama mwenye rangi nyekundu hayamo (Ufu 17:8): re 248-249
“kitabu cha kukunjwa cha uzima cha Mwana-Kondoo” (Ufu 13:8; 21:27): w09 2/15 3; re 192, 310
hakina majina ya waabudu wa mnyama-mwitu (Ufu 13:8): re 192
kitabu cha kukunjwa chenye mihuri saba (Ufu 5-8): re 82-131
“kitabu kidogo cha kukunjwa kilichofunguliwa” (Ufu 10:2, 8-11): re 155-156, 158-160
Yohana ala: re 158
kusoma kitabu cha kukunjwa: w08 4/1 30; w07 6/1 15
mambo yaliyoonwa:
familia yatengeneza kitabu cha kukunjwa cha Isaya: w09 10/15 31
‘mbingu zitakunjwa kama kitabu cha kukunjwa’ (Isa 34:4): re 110-111; ip-1 358, 360-361
Paulo aomba aletewe vitabu vya kukunjwa (2Ti 4:13): w11 6/15 18-19
sanduku la kuhifadhia: w10 4/1 17
‘vitabu vya kukunjwa vilifunguliwa’ (Ufu 20:12): w10 4/15 11; w09 3/15 12; re 298-300; bh 214-215; rs 324; w98 7/1 22
vitabu vya kukunjwa vya fedha ambavyo vimeandikwa Baraka za Makuhani (Hes 6:24-26): g 11/07 30
Yeremia:
Baruku akiandika, Yehoyakimu ateketeza: g 12/11 4
Seraya atupa kitabu cha kukunjwa ndani ya Efrati: re 269