Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 1/11 uku. 8
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2011
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2008
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2011
km 1/11 uku. 8

Tuseme Nini Kuhusu Magazeti

Mnara wa Mlinzi 01/01/11

Soma Mwanzo 2:16, 17. Kisha useme: “Watu fulani wanasema kwamba Mungu alijua mbele ya wakati kwamba Adamu atafanya zambi. Wengine wanafikiri kwamba onyo ambalo Mungu alimpa Adamu lilikuwa la unafiki ikiwa alijua mbele ya wakati kwamba atafanya zambi. Wewe unaona namna gani? [Acha mutu ajibu.] Habari hii inayoanzia kwenye ukurasa wa 13 inaeleza jinsi Mungu anavyotumia uwezo wake ili kujua wakati ujao.”

Amkeni! Mwezi wa 1

“Watu fulani wanafikiri kwamba imani ya kidini inajengwa juu ya mambo yasiyohakikishwa wala yasiyo na msingi wowote. Wewe unaona namna gani? [Acha mutu ajibu.] Kulingana na Biblia, kuwa na imani hakumaanishi kukubali mambo yasiyohakikishwa ao bila kufikiri. [Soma 1 Yohana 4:1.] Habari inayoanzia kwenye ukurasa wa 28 inaonyesha jinsi tunavyoweza kuhakikisha kwamba imani yetu inategemea kabisa mambo ya kweli.”

Mnara wa Mlinzi 01/02/11

“Leo, ndoa nyingi zinaendelea kuvunjika. Wewe unafikiri sababu kubwa ni nini? [Acha mutu ajibu.] Ona shauri hili ambalo waume na wake wengi wameona kuwa lenye kusaidia. [Soma 1 Wakorintho 10:24.] Gazeti hili linazungumzia sababu sita zinazofanya waume na wake wengi wavunje ndoa na linaonyesha jinsi kanuni za Biblia zinavyoweza kusaidia.”

Amkeni! Mwezi wa 2

“Inaonekana kwamba watu wanaendelea kupendezwa sana na mambo ya uchawi. Je, unafikiri kwamba kujiingiza katika mambo hayo hakuna hatari yoyote? [Acha mutu ajibu.] Ona onyo hili ambalo Mungu aliwatolea Waisraeli. [Soma Kumbukumbu 18:10-12.] Gazeti hili linaonyesha maoni ya Biblia kuhusu mambo ya uchawi.”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine