Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 106
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Waisraeli wakosa kuthamini

        • Walisahau haraka matendo ya Mungu (13)

        • Walibadili utukufu wa Mungu kwa mfano wa ng’ombe dume (19, 20)

        • Hawakuwa na imani katika ahadi ya Mungu (24)

        • Walijiunga na ibada ya Baali (28)

        • Watoto watolewa dhabihu kwa roho waovu (37)

Zaburi 106:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +Lu 18:19
  • +1Nya 16:34; Ezr 3:11; Zb 103:17; 107:1

Zaburi 106:2

Marejeo

  • +Zb 40:5

Zaburi 106:3

Marejeo

  • +Zb 15:1, 2; Isa 64:5

Zaburi 106:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nia njema.”

Marejeo

  • +Ne 5:19; Zb 51:18; 119:132

Zaburi 106:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nijigambe kukuhusu.”

Marejeo

  • +Kut 19:5

Zaburi 106:6

Marejeo

  • +Ne 9:16; Zb 78:8
  • +Ezr 9:6; Da 9:5

Zaburi 106:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hawakuelewa maana ya.”

Marejeo

  • +Kut 14:11, 12

Zaburi 106:8

Marejeo

  • +Zb 143:11; Eze 20:14
  • +Kut 9:16; Ro 9:17

Zaburi 106:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nyikani.”

Marejeo

  • +Kut 14:21, 22

Zaburi 106:10

Marejeo

  • +Kut 14:30
  • +Isa 49:26

Zaburi 106:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “aliyebaki.”

Marejeo

  • +Kut 14:13, 28

Zaburi 106:12

Marejeo

  • +Kut 14:31
  • +Kut 15:1

Zaburi 106:13

Marejeo

  • +Kut 15:24; 16:2, 3; 17:7

Zaburi 106:14

Marejeo

  • +Hes 11:4; Kum 9:22; 1Ko 10:6
  • +Kut 17:2; Zb 78:18; 1Ko 10:9; Ebr 3:8, 9

Zaburi 106:15

Marejeo

  • +Hes 11:31, 33; Zb 78:29-31

Zaburi 106:16

Marejeo

  • +Hes 16:3
  • +Law 21:8; Hes 16:5-7

Zaburi 106:17

Marejeo

  • +Hes 16:27, 32

Zaburi 106:18

Marejeo

  • +Hes 16:35

Zaburi 106:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “sanamu ya kuyeyushwa.”

Marejeo

  • +Kut 32:4; Kum 9:12

Zaburi 106:20

Marejeo

  • +Kut 20:4

Zaburi 106:21

Marejeo

  • +Kum 32:18
  • +Kum 4:34

Zaburi 106:22

Marejeo

  • +Zb 78:51
  • +Kut 14:25

Zaburi 106:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akasimama kwenye pengo hilo mbele zake.”

Marejeo

  • +Kut 32:10, 11; Kum 9:14, 19

Zaburi 106:24

Marejeo

  • +Hes 13:32; Kum 8:7-9
  • +Hes 14:11

Zaburi 106:25

Marejeo

  • +Hes 14:2; Kum 1:27
  • +Hes 14:22, 23

Zaburi 106:26

Marejeo

  • +Hes 14:28, 29; Ebr 3:11

Zaburi 106:27

Marejeo

  • +Law 26:33; Kum 4:27

Zaburi 106:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wakashikamana.”

  • *

    Yaani, dhabihu zilizotolewa kwa watu waliokufa au kwa miungu ambayo haina uhai.

Marejeo

  • +Hes 25:3; Ho. 9:10

Zaburi 106:29

Marejeo

  • +Hes 25:6; Kum 32:16
  • +Hes 25:9; 1Ko 10:8

Zaburi 106:30

Marejeo

  • +Hes 25:7, 8

Zaburi 106:31

Marejeo

  • +Hes 25:11-13

Zaburi 106:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Kugombana.”

Marejeo

  • +Hes 20:2, 12; 27:13, 14

Zaburi 106:33

Marejeo

  • +Hes 20:10

Zaburi 106:34

Marejeo

  • +Yos 16:10; 17:12; Amu 1:21
  • +Hes 33:52; Kum 7:1, 2

Zaburi 106:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kujifunza.”

Marejeo

  • +Yos 15:63; Amu 1:33
  • +Isa 2:6

Zaburi 106:36

Marejeo

  • +Amu 2:11, 12; 2Fa 17:12
  • +Kut 23:32, 33

Zaburi 106:37

Marejeo

  • +Kum 12:31; 2Fa 16:1, 3; 17:17, 18; Yer 7:30, 31; 1Ko 10:20

Zaburi 106:38

Marejeo

  • +2Fa 21:16
  • +Eze 16:20

Zaburi 106:39

Marejeo

  • +Yer 3:9

Zaburi 106:41

Marejeo

  • +Kum 32:30; Amu 3:8
  • +Amu 10:6-8

Zaburi 106:42

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mkono wao.”

Zaburi 106:43

Marejeo

  • +Amu 10:11, 12; 1Sa 12:11
  • +Amu 4:1
  • +Amu 6:1-5

Zaburi 106:44

Marejeo

  • +Amu 2:18
  • +Amu 3:9

Zaburi 106:45

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “akighairi.”

  • *

    Au “mkubwa; mkuu.”

Marejeo

  • +Kut 34:6; Kum 32:36; Isa 63:7; Omb 3:32; Yoe 2:13

Zaburi 106:46

Marejeo

  • +Ezr 9:9

Zaburi 106:47

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tupate shangwe kwa kukusifu.”

Marejeo

  • +Zb 79:9
  • +Yer 32:37
  • +1Nya 16:35

Zaburi 106:48

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Milele na milele.”

  • *

    Au “Na iwe hivyo!”

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +1Nya 29:10; Zb 41:13; Lu 1:68

Jumla

Zab. 106:1Lu 18:19
Zab. 106:11Nya 16:34; Ezr 3:11; Zb 103:17; 107:1
Zab. 106:2Zb 40:5
Zab. 106:3Zb 15:1, 2; Isa 64:5
Zab. 106:4Ne 5:19; Zb 51:18; 119:132
Zab. 106:5Kut 19:5
Zab. 106:6Ne 9:16; Zb 78:8
Zab. 106:6Ezr 9:6; Da 9:5
Zab. 106:7Kut 14:11, 12
Zab. 106:8Zb 143:11; Eze 20:14
Zab. 106:8Kut 9:16; Ro 9:17
Zab. 106:9Kut 14:21, 22
Zab. 106:10Kut 14:30
Zab. 106:10Isa 49:26
Zab. 106:11Kut 14:13, 28
Zab. 106:12Kut 14:31
Zab. 106:12Kut 15:1
Zab. 106:13Kut 15:24; 16:2, 3; 17:7
Zab. 106:14Hes 11:4; Kum 9:22; 1Ko 10:6
Zab. 106:14Kut 17:2; Zb 78:18; 1Ko 10:9; Ebr 3:8, 9
Zab. 106:15Hes 11:31, 33; Zb 78:29-31
Zab. 106:16Hes 16:3
Zab. 106:16Law 21:8; Hes 16:5-7
Zab. 106:17Hes 16:27, 32
Zab. 106:18Hes 16:35
Zab. 106:19Kut 32:4; Kum 9:12
Zab. 106:20Kut 20:4
Zab. 106:21Kum 32:18
Zab. 106:21Kum 4:34
Zab. 106:22Zb 78:51
Zab. 106:22Kut 14:25
Zab. 106:23Kut 32:10, 11; Kum 9:14, 19
Zab. 106:24Hes 13:32; Kum 8:7-9
Zab. 106:24Hes 14:11
Zab. 106:25Hes 14:2; Kum 1:27
Zab. 106:25Hes 14:22, 23
Zab. 106:26Hes 14:28, 29; Ebr 3:11
Zab. 106:27Law 26:33; Kum 4:27
Zab. 106:28Hes 25:3; Ho. 9:10
Zab. 106:29Hes 25:6; Kum 32:16
Zab. 106:29Hes 25:9; 1Ko 10:8
Zab. 106:30Hes 25:7, 8
Zab. 106:31Hes 25:11-13
Zab. 106:32Hes 20:2, 12; 27:13, 14
Zab. 106:33Hes 20:10
Zab. 106:34Yos 16:10; 17:12; Amu 1:21
Zab. 106:34Hes 33:52; Kum 7:1, 2
Zab. 106:35Yos 15:63; Amu 1:33
Zab. 106:35Isa 2:6
Zab. 106:36Amu 2:11, 12; 2Fa 17:12
Zab. 106:36Kut 23:32, 33
Zab. 106:37Kum 12:31; 2Fa 16:1, 3; 17:17, 18; Yer 7:30, 31; 1Ko 10:20
Zab. 106:382Fa 21:16
Zab. 106:38Eze 16:20
Zab. 106:39Yer 3:9
Zab. 106:41Kum 32:30; Amu 3:8
Zab. 106:41Amu 10:6-8
Zab. 106:43Amu 10:11, 12; 1Sa 12:11
Zab. 106:43Amu 4:1
Zab. 106:43Amu 6:1-5
Zab. 106:44Amu 2:18
Zab. 106:44Amu 3:9
Zab. 106:45Kut 34:6; Kum 32:36; Isa 63:7; Omb 3:32; Yoe 2:13
Zab. 106:46Ezr 9:9
Zab. 106:47Zb 79:9
Zab. 106:47Yer 32:37
Zab. 106:471Nya 16:35
Zab. 106:481Nya 29:10; Zb 41:13; Lu 1:68
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 106:1-48

Zaburi

106 Msifuni Yah!*

Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+

Upendo wake mshikamanifu unadumu milele.+

 2 Ni nani anayeweza kutangaza kikamili matendo ya Yehova yenye nguvu

Au kutangaza matendo yake yote yanayostahili sifa?+

 3 Wenye furaha ni wale wanaotenda haki,

Ambao sikuzote wanatenda yaliyo sawa.+

 4 Nikumbuke, Ee Yehova, unapowaonyesha kibali* watu wako.+

Nitunze kwa matendo yako ya wokovu,

 5 Ili nifurahie wema unaowaonyesha watu wako uliowachagua,+

Ili nishangilie pamoja na taifa lako,

Ili nikusifu kwa fahari* pamoja na urithi wako.

 6 Tumetenda dhambi kama mababu zetu;+

Tumetenda kosa; tumetenda uovu.+

 7 Mababu zetu kule Misri hawakuthamini* kazi zako zinazostaajabisha.

Hawakukumbuka upendo wako mwingi mshikamanifu,

Bali waliasi baharini, kando ya Bahari Nyekundu.+

 8 Lakini aliwaokoa kwa ajili ya jina lake,+

Ili kufanya nguvu zake zijulikane.+

 9 Aliikemea Bahari Nyekundu, ikakauka;

Aliwaongoza katika vilindi vyake kana kwamba wanapitia jangwani;*+

10 Aliwaokoa kutoka mikononi mwa adui yao+

Na kutoka mikononi mwa adui aliwakomboa.+

11 Maji yaliwafunika maadui wao;

Hakuna hata mmoja wao aliyeokoka.*+

12 Kisha wakawa na imani katika ahadi yake;+

Wakaanza kuimba sifa yake.+

13 Lakini walisahau haraka mambo aliyotenda;+

Hawakungojea ushauri wake.

14 Walifuata tamaa zao za kichoyo nyikani;+

Walimjaribu Mungu jangwani.+

15 Aliwapa walichoomba,

Lakini akawapiga kwa ugonjwa uliowadhoofisha.+

16 Walimwonea wivu Musa kambini

Na Haruni,+ mtakatifu wa Yehova.+

17 Kisha dunia ikafunguka na kummeza Dathani

Na kuwafunika wale waliokusanyika pamoja na Abiramu.+

18 Moto uliwaka katika kundi lao;

Mwali wa moto ukawateketeza kabisa waovu.+

19 Walitengeneza ndama kule Horebu

Na kuiinamia sanamu ya chuma;*+

20 Waliubadili utukufu wangu

Kwa mfano wa ng’ombe dume anayekula nyasi.+

21 Walimsahau Mungu+ Mwokozi wao,

Aliyetenda mambo makuu nchini Misri,+

22 Kazi zinazostaajabisha katika nchi ya Hamu,+

Mambo yanayoogopesha kwenye Bahari Nyekundu.+

23 Alikuwa karibu kuamuru waangamizwe,

Lakini Musa, mchaguliwa wake, akaingilia kati*

Ili kuzuia hasira yake inayoangamiza.+

24 Kisha wakaidharau ile nchi inayotamanika;+

Hawakuwa na imani katika ahadi yake.+

25 Waliendelea kunung’unika katika mahema yao;+

Hawakuisikiliza sauti ya Yehova.+

26 Kwa hiyo akainua mkono wake na kuapa kuwahusu

Kwamba angewaangusha nyikani;+

27 Angewaangusha wazao wao miongoni mwa mataifa,

Naye angewatawanya katika nchi mbalimbali.+

28 Kisha wakajiunga* na ibada ya Baali wa Peori,+

Nao wakala dhabihu zilizotolewa kwa waliokufa.*

29 Walimkasirisha kwa matendo yao,+

Na pigo likazuka miongoni mwao.+

30 Lakini Finehasi alipoinuka na kuingilia kati,

Pigo hilo lilikomeshwa.+

31 Na jambo hilo likahesabiwa kwake kuwa uadilifu

Katika vizazi vyote milele.+

32 Walimkasirisha kwenye maji ya Meriba,*

Na mambo yakamwendea Musa vibaya kwa sababu yao.+

33 Waliitia uchungu roho yake,

Naye akaongea bila kufikiri kwa midomo yake.+

34 Hawakuyaangamiza mataifa,+

Kama Yehova alivyokuwa amewaamuru.+

35 Lakini walichangamana na mataifa hayo+

Na kuzikubali* njia zao.+

36 Waliendelea kuabudu sanamu zao,+

Nazo zikawa mtego kwao.+

37 Waliwatoa dhabihu wana wao

Na mabinti wao kwa roho waovu.+

38 Waliendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+

Damu ya wana wao na mabinti wao wenyewe

Ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+

Na nchi ikachafuliwa kwa umwagaji wa damu.

39 Wakawa wachafu kwa sababu ya kazi zao;

Walifanya ukahaba wa kiroho kwa matendo yao.+

40 Kwa hiyo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya watu wake,

Naye akauchukia sana urithi wake.

41 Aliwatia tena na tena mikononi mwa mataifa,+

Ili wale waliowachukia waweze kuwatawala.+

42 Maadui wao waliwakandamiza,

Nao wakatiishwa chini ya nguvu zao.*

43 Aliwaokoa mara nyingi,+

Lakini walikuwa wakiasi na kukosa kutii,+

Nao walikuwa wakifedheheshwa kwa sababu ya makosa yao.+

44 Lakini alikuwa akiona taabu yao+

Na kusikia kilio chao cha kuomba msaada.+

45 Na kwa ajili yao alikuwa akikumbuka agano lake,

Naye alikuwa akiwahurumia,* akichochewa na upendo wake mwingi* mshikamanifu.+

46 Alikuwa akisababisha wahurumiwe

Na wote waliowachukua mateka.+

47 Tuokoe, Ee Yehova Mungu wetu,+

Na kutukusanya kutoka katika mataifa+

Ili tulishukuru jina lako takatifu

Na tushangilie kukusifu wewe.*+

48 Yehova, Mungu wa Israeli, na asifiwe

Kwa umilele wote.*+

Na watu wote waseme, “Amina!”*

Msifuni Yah!*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki