Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Hesabu—Yaliyomo

      • Kambi yapangwa katika makundi ya makabila matatu-matatu (1-34)

        • Kundi la Yuda upande wa mashariki (3-9)

        • Kundi la Rubeni upande wa kusini (10-16)

        • Kambi ya Lawi yawekwa katikati (17)

        • Kundi la Efraimu upande wa magharibi (18-24)

        • Kundi la Dani upande wa kaskazini (25-31)

        • Jumla ya wanaume walioandikishwa (32-34)

Hesabu 2:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

Marejeo

  • +Hes 1:52

Hesabu 2:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “majeshi yake.”

Marejeo

  • +Hes 7:12; 10:14; Ru 4:20; Mt 1:4

Hesabu 2:4

Marejeo

  • +Hes 1:27

Hesabu 2:5

Marejeo

  • +Hes 7:11, 18; 10:15

Hesabu 2:6

Marejeo

  • +Hes 1:29

Hesabu 2:7

Marejeo

  • +Hes 7:11, 24; 10:16

Hesabu 2:8

Marejeo

  • +Hes 1:31

Hesabu 2:9

Marejeo

  • +Hes 10:14

Hesabu 2:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “majeshi yake.”

Marejeo

  • +Hes 1:20
  • +Hes 7:11, 30; 10:18

Hesabu 2:11

Marejeo

  • +Hes 1:21

Hesabu 2:12

Marejeo

  • +Hes 7:11, 36; 10:19

Hesabu 2:13

Marejeo

  • +Hes 1:23

Hesabu 2:14

Marejeo

  • +Hes 7:11, 42; 10:20

Hesabu 2:15

Marejeo

  • +Hes 1:25

Hesabu 2:16

Marejeo

  • +Hes 10:18

Hesabu 2:17

Marejeo

  • +Hes 1:51
  • +1Ko 14:33, 40

Hesabu 2:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “majeshi yake.”

Marejeo

  • +Hes 7:11, 48; 10:22

Hesabu 2:19

Marejeo

  • +Hes 1:33

Hesabu 2:20

Marejeo

  • +Mwa 48:20
  • +Hes 7:11, 54; 10:23

Hesabu 2:21

Marejeo

  • +Hes 1:35

Hesabu 2:22

Marejeo

  • +Hes 7:11, 60; 10:24

Hesabu 2:23

Marejeo

  • +Hes 1:37

Hesabu 2:24

Marejeo

  • +Hes 10:22

Hesabu 2:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “majeshi yake.”

Marejeo

  • +Hes 7:11, 66; 10:25

Hesabu 2:26

Marejeo

  • +Hes 1:39

Hesabu 2:27

Marejeo

  • +Hes 7:11, 72; 10:26

Hesabu 2:28

Marejeo

  • +Hes 1:41

Hesabu 2:29

Marejeo

  • +Hes 7:11, 78; 10:27

Hesabu 2:30

Marejeo

  • +Hes 1:43

Hesabu 2:31

Marejeo

  • +Hes 10:25

Hesabu 2:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

Marejeo

  • +Mwa 15:5; Kut 38:26; Hes 1:46; 14:29; 26:51, 64

Hesabu 2:33

Marejeo

  • +Hes 1:47; 26:62, 63
  • +Hes 3:15

Hesabu 2:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

Marejeo

  • +Hes 2:2
  • +Hes 10:28

Jumla

Hes. 2:2Hes 1:52
Hes. 2:3Hes 7:12; 10:14; Ru 4:20; Mt 1:4
Hes. 2:4Hes 1:27
Hes. 2:5Hes 7:11, 18; 10:15
Hes. 2:6Hes 1:29
Hes. 2:7Hes 7:11, 24; 10:16
Hes. 2:8Hes 1:31
Hes. 2:9Hes 10:14
Hes. 2:10Hes 1:20
Hes. 2:10Hes 7:11, 30; 10:18
Hes. 2:11Hes 1:21
Hes. 2:12Hes 7:11, 36; 10:19
Hes. 2:13Hes 1:23
Hes. 2:14Hes 7:11, 42; 10:20
Hes. 2:15Hes 1:25
Hes. 2:16Hes 10:18
Hes. 2:17Hes 1:51
Hes. 2:171Ko 14:33, 40
Hes. 2:18Hes 7:11, 48; 10:22
Hes. 2:19Hes 1:33
Hes. 2:20Mwa 48:20
Hes. 2:20Hes 7:11, 54; 10:23
Hes. 2:21Hes 1:35
Hes. 2:22Hes 7:11, 60; 10:24
Hes. 2:23Hes 1:37
Hes. 2:24Hes 10:22
Hes. 2:25Hes 7:11, 66; 10:25
Hes. 2:26Hes 1:39
Hes. 2:27Hes 7:11, 72; 10:26
Hes. 2:28Hes 1:41
Hes. 2:29Hes 7:11, 78; 10:27
Hes. 2:30Hes 1:43
Hes. 2:31Hes 10:25
Hes. 2:32Mwa 15:5; Kut 38:26; Hes 1:46; 14:29; 26:51, 64
Hes. 2:33Hes 1:47; 26:62, 63
Hes. 2:33Hes 3:15
Hes. 2:34Hes 2:2
Hes. 2:34Hes 10:28
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Hesabu 2:1-34

Hesabu

2 Yehova akamwambia hivi Musa na Haruni: 2 “Waisraeli wanapaswa kupiga kambi mahali ambapo kundi lao la makabila matatu+ limegawiwa, kila mtu karibu na alama ya ukoo wake.* Wanapaswa kupiga kambi kuelekeana na hema la mkutano, kuzunguka pande zake zote.

3 “Kundi la makabila matatu katika kambi ya Yuda litapiga kambi upande wa mashariki, upande wa mapambazuko ya jua, kulingana na vikosi vyake;* mkuu wa wana wa Yuda ni Nashoni+ mwana wa Aminadabu. 4 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 74,600.+ 5 Kabila la Isakari litapiga kambi kando yake; mkuu wa wana wa Isakari ni Nethaneli+ mwana wa Zuari. 6 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 54,400.+ 7 Kisha kabila la Zabuloni; mkuu wa wana wa Zabuloni ni Eliabu+ mwana wa Heloni. 8 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 57,400.+

9 “Watu wote walioandikishwa katika majeshi ya kambi ya Yuda ni 186,400. Wanapaswa kuwa wa kwanza kuondoka.+

10 “Kundi la makabila matatu katika kambi ya Rubeni+ litapiga kambi upande wa kusini, kulingana na vikosi vyake;* mkuu wa wana wa Rubeni ni Elisuri+ mwana wa Shedeuri. 11 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 46,500.+ 12 Kabila la Simeoni litapiga kambi kando yake; mkuu wa wana wa Simeoni ni Shelumieli+ mwana wa Zurishadai. 13 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 59,300.+ 14 Kisha kabila la Gadi; mkuu wa wana wa Gadi ni Eliasafu+ mwana wa Reueli. 15 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 45,650.+

16 “Watu wote walioandikishwa katika majeshi ya kambi ya Rubeni ni 151,450, nao wanapaswa kuwa wa pili kuondoka.+

17 “Hema la mkutano linapohamishwa,+ kambi ya Walawi inapaswa kuwa katikati ya kambi nyingine zote.

“Wote wanapaswa kusafiri kwa kufuata utaratibu uleule wanaofuata wanapopiga kambi,+ kila mtu mahali pake, kulingana na makundi yao ya makabila matatu-matatu.

18 “Kundi la makabila matatu katika kambi ya Efraimu litapiga kambi upande wa magharibi, kulingana na vikosi vyake;* mkuu wa wana wa Efraimu ni Elishama+ mwana wa Amihudi. 19 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 40,500.+ 20 Kabila la Manase+ litapiga kambi kando yake; mkuu wa wana wa Manase ni Gamalieli+ mwana wa Pedazuri. 21 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 32,200.+ 22 Kisha kabila la Benjamini; mkuu wa wana wa Benjamini ni Abidani+ mwana wa Gideoni. 23 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 35,400.+

24 “Watu wote walioandikishwa katika majeshi ya kambi ya Efraimu ni 108,100, nao wanapaswa kuwa wa tatu kuondoka.+

25 “Kundi la makabila matatu katika kambi ya Dani litapiga kambi upande wa kaskazini, kulingana na vikosi vyake;* mkuu wa wana wa Dani ni Ahiezeri+ mwana wa Amishadai. 26 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 62,700.+ 27 Kabila la Asheri litapiga kambi kando yake; mkuu wa wana wa Asheri ni Pagieli+ mwana wa Okrani. 28 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 41,500.+ 29 Kisha kabila la Naftali; mkuu wa wana wa Naftali ni Ahira+ mwana wa Enani. 30 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 53,400.+

31 “Watu wote walioandikishwa katika majeshi ya kambi ya Dani ni 157,600. Wanapaswa kuwa wa mwisho kuondoka,+ kulingana na kundi lao lenye makabila matatu.”

32 Hao ndio Waisraeli walioandikishwa kulingana na koo zao;* watu wote walioandikishwa katika kambi hizo ili kuwa wanajeshi walikuwa 603,550.+ 33 Lakini kama Yehova alivyomwamuru Musa, Walawi hawakuandikishwa+ pamoja na Waisraeli wengine.+ 34 Waisraeli walifanya mambo yote ambayo Yehova alimwamuru Musa. Hivyo ndivyo walivyopiga kambi kulingana na makundi yao ya makabila matatu,+ na hivyo ndivyo walivyokuwa wakiondoka,+ kila mmoja kulingana na familia yake na ukoo wake.*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki