25 Basi kufika asubuhi akakuta kumbe ni Lea! Kwa hiyo akamwambia Labani: “Ni nini hili umenitendea? Je, sikukutumikia kwa ajili ya Raheli? Basi kwa nini umenifanyia ujanja?”+
39 Mnyama yeyote aliyeraruliwa vipande-vipande sikukuletea.+ Mimi mwenyewe nililipa hasara yake. Iwe mmoja aliibwa wakati wa mchana au aliibwa wakati wa usiku, wewe ulimtaka mkononi mwangu.+
15 Katika siku yake utampa malipo yake,+ nalo jua lisitue juu yake, kwa sababu yeye yuko katika taabu naye anaiinua nafsi yake kwa malipo yake; ili asimlilie Yehova juu yako,+ na iwe dhambi kwako.+