3 kwa kuwa lazima nikuapishe kwa Yehova,+ Mungu wa mbingu na Mungu wa dunia, kwamba hutamchukulia mwanangu mke kutoka kwa binti za Wakanaani ambao ninakaa kati yao,+
2 kutoka kwa mataifa ambayo Yehova alikuwa amewaambia wana wa Israeli: “Msiingie kati yao,+ nao wasije kati yenu; kwa hakika watageuza moyo wenu uifuate miungu yao.”+ Hao ndio Sulemani alishikamana+ nao na kuwapenda.
39 Mke amefungwa wakati wote ambao mume wake yuko hai.+ Lakini mume wake akilala usingizi katika kifo, yeye yuko huru kuolewa na yeyote anayemtaka, katika Bwana tu.+