Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Nanyi mtashika jambo hili kama sharti+ kwa ajili yenu na wana wenu mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Kutoka 23:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Utaishika sherehe ya keki zisizo na chachu.+ Utakula keki zisizo na chachu+ siku saba, kama vile ambavyo nimekuamuru, wakati uliowekwa katika mwezi wa Abibu,+ kwa sababu katika mwezi huo ulitoka Misri. Nao wasionekane mbele zangu mikono mitupu.+

  • Mambo ya Walawi 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu ni sherehe kwa Yehova ya keki zisizo na chachu.+ Kwa siku saba mtakula keki zisizo na chachu.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Usile chochote chenye chachu pamoja nayo kwa siku saba.+ Utakula pamoja nayo keki zisizo na chachu, mkate wa mateso, kwa sababu ulitoka katika nchi ya Misri kwa haraka,+ ili ukumbuke siku ya kutoka kwako katika nchi ya Misri siku zote za maisha yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki