Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 29:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Mara hii nitamsifu Yehova.” Kwa hiyo akamwita jina lake Yuda.+ Kisha akaacha kuzaa.

  • Mwanzo 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana Yuda+ alikuwa mkuu kati ya ndugu zake, na kiongozi alitoka kwake;+ lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu+ —

  • Waebrania 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana ni wazi kabisa kwamba Bwana wetu ametokana na Yuda,+ kabila ambalo Musa hakusema lolote juu yake kuhusiana na makuhani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki