Mwanzo 29:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Mara hii nitamsifu Yehova.” Kwa hiyo akamwita jina lake Yuda.+ Kisha akaacha kuzaa. Mwanzo 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+ 1 Mambo ya Nyakati 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana Yuda+ alikuwa mkuu kati ya ndugu zake, na kiongozi alitoka kwake;+ lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu+ — Waebrania 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana ni wazi kabisa kwamba Bwana wetu ametokana na Yuda,+ kabila ambalo Musa hakusema lolote juu yake kuhusiana na makuhani.
35 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Mara hii nitamsifu Yehova.” Kwa hiyo akamwita jina lake Yuda.+ Kisha akaacha kuzaa.
10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+
2 Kwa maana Yuda+ alikuwa mkuu kati ya ndugu zake, na kiongozi alitoka kwake;+ lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu+ —
14 Kwa maana ni wazi kabisa kwamba Bwana wetu ametokana na Yuda,+ kabila ambalo Musa hakusema lolote juu yake kuhusiana na makuhani.