Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sasa Miriamu na Haruni wakaanza kusema dhidi ya Musa kwa sababu ya mke Mkushi ambaye alikuwa amemchukua, kwa sababu alikuwa amemchukua mke Mkushi.+

  • Hesabu 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na wana wote wa Israeli wakaanza kunung’unika juu ya Musa na Haruni,+ na kusanyiko lote likaanza kusema dhidi yao: “Laiti tungalikufa katika nchi ya Misri, au laiti tungalikufa katika nyika hii!

  • 1 Samweli 15:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kwa maana uasi+ ni sawa na dhambi ya uaguzi,+ na kwenda kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na terafimu.+ Kwa kuwa umelikataa neno la Yehova,+ basi yeye pia amekukataa wewe usiwe mfalme.”+

  • Zaburi 106:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nao wakaanza kumwonea Musa wivu katika kambi,+

      Hata Haruni mtakatifu wa Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki