Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 26:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Tena akatengeneza mitambo ya vita katika Yerusalemu, ubuni wa mafundi, ili iwekwe juu ya minara+ na juu ya sehemu za pembeni, ili irushe mishale na mawe makubwa. Basi sifa+ yake ikaenea mbali sana, kwa kuwa alisaidiwa kwa njia ya ajabu mpaka akawa na nguvu.

  • Mhubiri 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kulikuwa na jiji dogo, na wanaume waliokuwamo walikuwa wachache; mfalme mkuu akaja juu yake, akalizunguka na kujenga ngome+ zilizo kubwa ili kulishambulia.

  • Isaya 37:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “‘Kwa hiyo Yehova amesema hivi kumhusu mfalme wa Ashuru:+ “Hataingia katika jiji hili+ wala hatapiga mshale humo, wala kulikabili kwa ngao, wala kujenga juu yake boma la kulizingira.”’+

  • Yeremia 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana Yehova wa majeshi amesema hivi: “Kateni miti+ na mjenge boma la kuzingira+ Yerusalemu. Yeye ni jiji ambalo lazima litozwe hesabu.+ Yeye ni ukandamizaji mtupu katikati yake.+

  • Ezekieli 17:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na kwa jeshi kubwa na kwa kutaniko lenye watu wengi Farao hatamfanya apate mafanikio katika vita,+ kwa kujenga boma la kuzingira na kwa kujenga ukuta wa kuzingira, ili kukatilia mbali nafsi nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki