Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Je, jambo lolote ni kubwa mno isivyo kawaida kwa Yehova?+ Kwa wakati uliowekwa nitarudi kwako, mwaka ujao wakati huu, na Sara atapata mwana.”

  • Yoshua 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na ikawa kwamba walipokuwa wanakimbia kutoka mbele ya Israeli, wakiwa kwenye mteremko wa Beth-horoni, Yehova akawatupia mawe+ makubwa kutoka mbinguni mpaka Azeka, nao wakafa. Wale waliokufa kutokana na hayo mawe ya mvua walikuwa wengi kuliko wale ambao wana wa Israeli waliwaua kwa upanga.

  • Waamuzi 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo Yehova akaanza kumvuruga+ Sisera na magari yake yote ya vita na kambi yote kwa makali ya upanga mbele ya Baraka. Mwishowe Sisera akashuka kutoka garini, akaanza kukimbia kwa miguu.

  • 1 Samweli 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na ikawa kwamba Samweli alipokuwa akitoa lile toleo la kuteketezwa, Wafilisti wakasonga karibu ili kupigana na Israeli. Na huko Yehova akafanya kuwe na mngurumo wa sauti kubwa+ siku hiyo juu ya Wafilisti, ili awavuruge;+ nao wakashindwa mbele ya Israeli.+

  • Zaburi 135:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Anafanya mivuke ipande kutoka mwisho wa dunia;+

      Amefanya hata malango kwa ajili ya mvua;+

      Anauleta upepo kutoka katika maghala yake,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki