Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Msiwaogope, kwa maana Yehova Mungu wenu Ndiye anayewapigania ninyi.’+

  • Kumbukumbu la Torati 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa maana Yehova Mungu wenu anapiga mwendo pamoja nanyi ili kupigana kwa ajili yenu juu ya adui zenu apate kuwaokoa ninyi.’+

  • Waamuzi 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na wakati Yehova alipowasimamishia waamuzi,+ Yehova akawa pamoja na mwamuzi huyo, naye akawaokoa kutoka mkononi mwa adui zao siku zote za mwamuzi huyo; kwa maana Yehova alikuwa akijuta+ kwa ajili ya kuugua kwao kwa sababu ya wakandamizaji+ wao na wale waliokuwa wakiwasukuma huku na huku.

  • Isaya 41:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Usiogope, kwa maana mimi nipo pamoja nawe.+ Usitazame huku na huku, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu.+ Nitakusaidia kwelikweli.+ Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume+ wa uadilifu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki