Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu.

  • Hesabu 35:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Sasa ikiwa amempiga kwa chombo cha chuma akafa, yeye ni muuaji wa kukusudia.+ Lazima muuaji huyo wa kukusudia auawe.+

  • Waamuzi 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kisha akaenda nyumbani kwa baba yake katika Ofra,+ akawaua ndugu zake,+ wana wa Yerubaali, watu 70, juu ya jiwe moja, lakini Yothamu mwana mdogo zaidi wa Yerubaali akaachwa, kwa sababu alijificha.

  • 1 Wafalme 2:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na Yehova atarudisha damu yake juu ya kichwa chake mwenyewe,+ kwa sababu aliwashambulia watu wawili walio waadilifu na bora kuliko yeye mwenyewe,+ naye akawaua kwa upanga, wakati baba yangu Daudi hakuwa amejua habari hizo,+ yaani, Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi la Israeli+ na Amasa+ mwana wa Yetheri mkuu wa jeshi la Yuda.+

  • Zaburi 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Taabu yake itarudi juu ya kichwa chake mwenyewe,+

      Na jeuri yake mwenyewe itashuka juu ya utosi wa kichwa chake.+

  • Mathayo 23:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 ili ije juu yenu damu yote ya uadilifu iliyomwagwa juu ya dunia,+ tangu damu+ ya Abeli+ mwadilifu mpaka damu ya Zekaria mwana wa Barakia, ambaye mlimuua katikati ya patakatifu na madhabahu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki