Ruthu 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kisha Naomi akamwambia: “Na abarikiwe huyo na Yehova,+ ambaye hakuacha kuonyesha fadhili zake zenye upendo+ kwa walio hai na wafu.”+ Naye Naomi akamwambia: “Mwanamume huyo ni wa jamaa yetu.+ Yeye ni mmoja wa wakombozi wetu.”+ Methali 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Huenda moyo wa mtu wa udongo ukaifikiria njia yake,+ lakini Yehova ndiye huzielekeza hatua zake.+
20 Kisha Naomi akamwambia: “Na abarikiwe huyo na Yehova,+ ambaye hakuacha kuonyesha fadhili zake zenye upendo+ kwa walio hai na wafu.”+ Naye Naomi akamwambia: “Mwanamume huyo ni wa jamaa yetu.+ Yeye ni mmoja wa wakombozi wetu.”+