34 Yule mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni pamoja nanyi atakuwa kwenu kama mwenyeji wenu; nawe utampenda kama wewe mwenyewe,+ kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.
4 Nawe uwaamuru watu, na kusema: “Mnapita kando ya mpaka wa ndugu zenu,+ wana wa Esau,+ ambao wanakaa Seiri,+ nao wataogopa kwa sababu yenu,+ nanyi lazima muwe waangalifu sana.
47 Naye Sauli akachukua ufalme juu ya Israeli,+ akaanza kupiga vita kuzunguka pande zote juu ya adui zake wote, juu ya Moabu+ na juu ya wana wa Amoni+ na juu ya Edomu+ na juu ya wafalme wa Soba+ na juu ya Wafilisti;+ na mahali popote alipogeukia, akawatendea kama waliohukumiwa kuwa na hatia.+