1 Samweli 17:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na bingwa fulani akatoka katika kambi za Wafilisti, na jina lake lilikuwa Goliathi,+ kutoka Gathi,+ urefu wake ulikuwa mikono sita na shubiri moja.+ 1 Mambo ya Nyakati 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na kukawa na vita tena na Wafilisti; na Elhanani+ mwana wa Yairi akampiga Lahmi ndugu ya Goliathi+ Mgathi, ambaye mpini wa mkuki wake ulikuwa kama mti wa wafumaji wa nguo.+
4 Na bingwa fulani akatoka katika kambi za Wafilisti, na jina lake lilikuwa Goliathi,+ kutoka Gathi,+ urefu wake ulikuwa mikono sita na shubiri moja.+
5 Na kukawa na vita tena na Wafilisti; na Elhanani+ mwana wa Yairi akampiga Lahmi ndugu ya Goliathi+ Mgathi, ambaye mpini wa mkuki wake ulikuwa kama mti wa wafumaji wa nguo.+