Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Usimlaani Mungu+ wala kumlaani mkuu kati ya watu wako.+

  • 2 Samweli 16:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Shimei akalaani akisema: “Ondoka, ondoka, wewe mtu mwenye hatia ya damu+ na asiyefaa kitu!+

  • 1 Wafalme 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo watu wawili, watu wasiofaa kitu, wakaingia, wakaketi mbele yake; kisha wale watu wasiofaa kitu wakaanza kutoa ushahidi juu yake, yaani, Nabothi, mbele ya watu, wakisema: “Nabothi amemlaani Mungu na mfalme!”+ Kisha wakamtoa nje hadi mipakani mwa jiji, wakampiga kwa mawe, akafa.+

  • Zaburi 105:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Akisema: “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,+

      Wala msiwatendee manabii wangu lolote lililo baya.”+

  • Mhubiri 10:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hata katika chumba chako cha kulala usimlaani mfalme,+ na katika chumba cha ndani unapolala usimlaani yeyote aliye tajiri;+ kwa maana kiumbe kinachoruka cha mbinguni kitafikisha sauti hiyo na kiumbe chenye mabawa kitasema jambo hilo.+

  • Matendo 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Paulo akasema: “Akina ndugu, sikujua yeye ni kuhani mkuu. Kwa maana imeandikwa, ‘Usiseme vibaya juu ya mtawala wa watu wako.’ ”+

  • 2 Petro 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 hasa wale ambao huufuata mwili wakiwa na tamaa ya kuutia unajisi+ na ambao hudharau mamlaka.+

      Ni wajasiri, washupavu, hawatetemeki mbele ya watukufu bali hutukana,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki