4 Nami nimeona kazi yote ngumu na ustadi wote katika kazi,+ ya kwamba maana yake ni mashindano kati ya mtu na mwenzake;+ hilo pia ni ubatili na kufuatilia upepo.
26 Ingawa hivyo, ninyi hampaswi kuwa hivyo.+ Lakini acheni yule aliye mkuu zaidi ya wote kati yenu awe kama aliye mdogo zaidi ya wote,+ na yule anayetenda kama mkuu kama yule anayehudumu.+