21 Naye Sauli akasema: “Nimetenda dhambi.+ Rudi, Daudi mwanangu, kwa maana sitakudhuru tena, kwa sababu ya ukweli wa kwamba nafsi yangu imekuwa na thamani+ machoni pako leo. Tazama! Nimetenda kipumbavu, nami nimekosea sana.”
5 Na Mfalme Daudi akaenda mpaka Bahurimu,+ na tazama! palikuwa na mtu anatoka huko, wa familia ya nyumba ya Sauli, na jina lake lilikuwa Shimei,+ mwana wa Gera, akiwa anatoka na kulaani huku akiwa anatoka.+