14 Naye akawa akiwapeleka Lebanoni kwa zamu za 10,000 kwa mwezi. Wakaendelea kukaa katika Lebanoni kwa mwezi mmoja, na kwa miezi miwili nyumbani kwao;+ na Adoniramu+ alikuwa juu ya wale walioandikishwa+ kufanya kazi ya kulazimishwa.+
18 Basi Mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu,+ aliyekuwa juu ya wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa,+ lakini Israeli wote wakampiga kwa mawe,+ naye akafa. Na Mfalme Rehoboamu akafaulu kupanda katika gari, akakimbia kwenda Yerusalemu.