Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 20:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na Adoramu+ alikuwa juu ya wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa; na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alikuwa karani.

  • 1 Wafalme 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akawa akiwapeleka Lebanoni kwa zamu za 10,000 kwa mwezi. Wakaendelea kukaa katika Lebanoni kwa mwezi mmoja, na kwa miezi miwili nyumbani kwao;+ na Adoniramu+ alikuwa juu ya wale walioandikishwa+ kufanya kazi ya kulazimishwa.+

  • 1 Wafalme 12:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi Mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu,+ aliyekuwa juu ya wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa,+ lakini Israeli wote wakampiga kwa mawe,+ naye akafa. Na Mfalme Rehoboamu akafaulu kupanda katika gari, akakimbia kwenda Yerusalemu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki