Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ila tu asiongeze farasi kwa ajili yake,+ wala kuwafanya watu warudi Misri ili kuongeza farasi;+ huku Yehova amewaambia ninyi, ‘Msirudi kamwe tena katika njia hii.’

  • 2 Samweli 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye Daudi akateka kutoka kwake wapanda-farasi 1,700 na watu 20,000 wanaoenda kwa miguu;+ na Daudi akakata mishipa ya magoti+ ya farasi+ wote wa magari, lakini akawaacha wabaki kati yao farasi 100 wa magari.

  • 1 Wafalme 10:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nao walikuwa wakileta kila mmoja zawadi yake,+ vyombo vya fedha+ na vyombo vya dhahabu na mavazi na silaha+ na mafuta ya zeri, farasi na nyumbu,+ kama kawaida ya kila mwaka.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nao wakawa wakipandisha na kusafirisha kwa ukawaida gari kutoka Misri kwa vipande 600 vya fedha na farasi kwa vipande 150; na hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa wafalme wote wa Wahiti na wafalme wa Siria.+ Walikuwa wakisafirisha vitu kupitia hao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki