Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 16:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana, kwa habari ya Yehova, macho+ yake yanaenda huku na huku duniani+ kote ili aonyeshe nguvu zake kwa ajili ya wale ambao moyo+ wao ni mkamilifu kumwelekea yeye. Umetenda kwa upumbavu+ kwa habari hii, kwa maana tangu sasa na kuendelea kutakuwa na vita juu yako.”+

  • Ezra 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 huyo Ezra alitoka Babiloni; naye alikuwa mwandikaji stadi+ katika sheria ya Musa,+ ambayo Yehova Mungu wa Israeli alikuwa ametoa, hata mfalme akampa maombi yake yote, kulingana na mkono wa Yehova Mungu wake juu yake.+

  • Ezra 7:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Naye amenipa fadhili zenye upendo+ mbele ya mfalme na washauri+ wake na kuhusu wakuu wote wa mfalme wenye nguvu. Mimi nami nikajitia nguvu kulingana na mkono+ wa Yehova Mungu wangu juu yangu, nami nikawakusanya wakuu kutoka katika Israeli ili waende pamoja nami.

  • Zekaria 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi akajibu na kuniambia: “Hili ndilo neno la Yehova kwa Zerubabeli, akisema, “Si kwa jeshi,+ wala kwa nguvu,+ bali kwa roho yangu,”+ Yehova wa majeshi amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki