Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ndipo kwato za farasi zikakanyaga-kanyaga+

      Kwa sababu ya kutimuka-timuka kwa farasi-dume zake.

  • Zaburi 32:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Msijifanye kama farasi au nyumbu wasio na uelewaji,+

      Ambao roho yao yenye nguvu huzuiwa na hatamu au lijamu+

      Kabla wao hawajakukaribia wewe.”+

  • Yeremia 47:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kutokana na sauti ya kukanyaga kwa kwato za farasi-dume+ zake, kutokana na kuvuma kwa magari yake ya vita,+ machafuko ya magurudumu yake,+ akina baba hawatawageukia wana, kwa sababu ya kulegea kwa mikono yao,

  • Habakuki 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na farasi zake ni wepesi kuliko chui, nao ni wakali kuliko mbwa-mwitu wa jioni.+ Na farasi zake wa vita wamekanyaga udongo, na hao farasi zake huja kutoka mbali. Linaruka kama tai anayeharakisha kwenda kula kitu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki