3 Kutokana na sauti ya kukanyaga kwa kwato za farasi-dume+ zake, kutokana na kuvuma kwa magari yake ya vita,+ machafuko ya magurudumu yake,+ akina baba hawatawageukia wana, kwa sababu ya kulegea kwa mikono yao,
8 Na farasi zake ni wepesi kuliko chui, nao ni wakali kuliko mbwa-mwitu wa jioni.+ Na farasi zake wa vita wamekanyaga udongo, na hao farasi zake huja kutoka mbali. Linaruka kama tai anayeharakisha kwenda kula kitu.+