1 Samweli 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yeye hulinda miguu ya washikamanifu wake;+Lakini kwa habari ya waovu, wao wananyamazishwa katika giza,+Kwa maana si kwamba mwanadamu hushinda kwa ukuu wa nguvu.+ Zaburi 62:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa kweli yeye ni mwamba wangu na wokovu wangu, kilele changu salama;+Sitatikiswa.+ Zaburi 94:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Niliposema: “Hakika mguu wangu utatembea ukitikisika,”+Fadhili zako zenye upendo, Ee Yehova, ziliendelea kunitegemeza.+ Zaburi 121:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hawezi kamwe kuruhusu mguu wako utikisike.+Yeye anayekulinda hawezi kamwe kusinzia.+
9 Yeye hulinda miguu ya washikamanifu wake;+Lakini kwa habari ya waovu, wao wananyamazishwa katika giza,+Kwa maana si kwamba mwanadamu hushinda kwa ukuu wa nguvu.+
18 Niliposema: “Hakika mguu wangu utatembea ukitikisika,”+Fadhili zako zenye upendo, Ee Yehova, ziliendelea kunitegemeza.+