18 Tazama! Mimi na watoto ambao Yehova amenipa+ ni kama ishara+ na kama miujiza katika Israeli kutoka kwa Yehova wa majeshi, anayekaa katika Mlima Sayuni.+
8 “ ‘Tafadhali sikia, Ee Yoshua kuhani mkuu, wewe pamoja na wenzako wanaoketi mbele yako, kwa maana wao ni watu wanaotumika kuwa ishara;+ kwa maana, tazama, mimi namleta ndani Chipukizi+ mtumishi wangu!+
34 Pia, Simeoni akawabariki wao, lakini akamwambia Maria mama yake: “Tazama! Huyu amewekwa kwa ajili ya kuanguka+ na kusimama tena kwa wengi katika Israeli+ na kuwa ishara itakayosemwa vibaya+
13 Sasa walipoona maneno ya waziwazi ya Petro na Yohana, na kufahamu kwamba walikuwa watu wasio na elimu na wa kawaida tu,+ wakaanza kustaajabu. Nao wakaanza kutambua juu yao kwamba walikuwa pamoja na Yesu;+
9 Kwa maana inaonekana kwangu kwamba Mungu ametuweka sisi mitume mwisho katika wonyesho wa hadharani+ kama watu waliowekewa kifo,+ kwa sababu tumekuwa tamasha+ kwa ulimwengu, na kwa malaika,+ na kwa wanadamu.+