2 Na Wafilisti wakajipanga+ ili kukutana na Israeli, na pigano hilo likaenda vibaya, hivi kwamba Israeli wakashindwa mbele ya Wafilisti,+ ambao waliwapiga na kuwaua karibu watu elfu nne katika pigano uwanjani.
10 Basi Wafilisti wakapigana, na Israeli wakashindwa,+ nao wakakimbia kila mmoja kwenda katika hema lake;+ na mauaji hayo yakawa makubwa sana,+ hivi kwamba katika Israeli wakaanguka watu 30,000 wenye kwenda kwa miguu.+
34 Nami nitaikomesha sauti ya kufurahi na sauti ya kushangilia kutoka katika majiji ya Yuda na kutoka katika barabara za Yerusalemu sauti ya bwana-arusi na sauti ya bibi-arusi;+ kwa maana nchi itakuwa mahali palipofanywa ukiwa.’”+