Isaya 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na katika siku hiyo hakika mtu atasema: “Tazama! Huyu ndiye Mungu wetu.+ Tumemtumaini yeye,+ naye atatuokoa.+ Huyu ndiye Yehova.+ Tumemtumaini yeye. Na tuwe na shangwe na kushangilia katika wokovu wake.”+ Isaya 33:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi+ wetu, Yehova ni Mpaji-sheria+ wetu, Yehova ni Mfalme+ wetu; yeye mwenyewe atatuokoa.+
9 Na katika siku hiyo hakika mtu atasema: “Tazama! Huyu ndiye Mungu wetu.+ Tumemtumaini yeye,+ naye atatuokoa.+ Huyu ndiye Yehova.+ Tumemtumaini yeye. Na tuwe na shangwe na kushangilia katika wokovu wake.”+
22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi+ wetu, Yehova ni Mpaji-sheria+ wetu, Yehova ni Mfalme+ wetu; yeye mwenyewe atatuokoa.+