Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 77:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Maji yamekuona wewe, Ee Mungu,

      Maji yamekuona wewe; yakaanza kuwa na maumivu makali.+

      Pia, vilindi vya maji vikaanza kutetemeka.+

  • Zaburi 104:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Anaitazama dunia, nayo inatetemeka;+

      Anaigusa milima, nayo inatoa moshi.+

  • Zaburi 114:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa sababu ya Bwana uwe na maumivu makali, Ee dunia,+

      Kwa sababu ya Mungu wa Yakobo.

  • Yeremia 51:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Dunia itetemeke na kuwa katika maumivu makali,+ kwa maana fikira za Yehova zimeinuka juu ya Babiloni ili kuifanya nchi ya Babiloni kuwa kitu cha kushangaza, bila mkaaji.+

  • Habakuki 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Milima ilikuona; ikawa katika maumivu makali.+ Dhoruba ya maji yenye mngurumo ikapita kati. Kilindi cha maji kikatoa mvumo wake.+ Kikainua mikono yake juu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki