2 Nawe uikumbuke njia yote ambayo Yehova Mungu wako alikutembeza miaka hii 40 nyikani,+ ili kukunyenyekeza,+ kukujaribu+ apate kujua yaliyokuwa moyoni mwako,+ iwapo utashika amri zake au hapana.
7 Nitazisema fadhili zenye upendo za Yehova,+ sifa za Yehova, kulingana na yote ambayo Yehova ametutendea,+ wema mwingi kwa nyumba ya Israeli+ ambao amewatendea kulingana na rehema+ zake na kulingana na wingi wa fadhili zake zenye upendo.