Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+

      Nitamwogopa nani?+

      Yehova ni ngome ya uhai wangu.+

      Nitamhofu nani?+

  • Methali 1:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kwa habari yake mtu anayenisikiliza, yeye atakaa salama+ wala hatasumbuliwa na hofu ya msiba.”+

  • Methali 3:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Hutaogopa kitu chochote chenye kuogopesha ghafula,+ wala dhoruba inayowajia waovu, kwa sababu inakuja.+

  • Luka 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Zaidi ya hayo, wakati mnaposikia juu ya vita na machafuko, msiogope.+ Kwa maana mambo hayo lazima yatukie kwanza, lakini ule mwisho hautatokea mara moja.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki