Zaburi 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+ Nitamwogopa nani?+Yehova ni ngome ya uhai wangu.+Nitamhofu nani?+ Methali 1:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa habari yake mtu anayenisikiliza, yeye atakaa salama+ wala hatasumbuliwa na hofu ya msiba.”+ Methali 3:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Hutaogopa kitu chochote chenye kuogopesha ghafula,+ wala dhoruba inayowajia waovu, kwa sababu inakuja.+ Luka 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Zaidi ya hayo, wakati mnaposikia juu ya vita na machafuko, msiogope.+ Kwa maana mambo hayo lazima yatukie kwanza, lakini ule mwisho hautatokea mara moja.”
27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+ Nitamwogopa nani?+Yehova ni ngome ya uhai wangu.+Nitamhofu nani?+
25 Hutaogopa kitu chochote chenye kuogopesha ghafula,+ wala dhoruba inayowajia waovu, kwa sababu inakuja.+
9 Zaidi ya hayo, wakati mnaposikia juu ya vita na machafuko, msiogope.+ Kwa maana mambo hayo lazima yatukie kwanza, lakini ule mwisho hautatokea mara moja.”