31 Kwa maana siku zote ambazo mwana wa Yese atakuwa hai katika nchi, wewe na ufalme wako hutasimama imara.+ Basi sasa tuma watu umlete kwangu, kwa maana amekusudiwa kufa.”+
66 Hatimaye kulipokuwa mchana, kusanyiko la wanaume wazee wa watu, wakuu wa makuhani na waandishi pia, wakakusanyika pamoja,+ nao wakamkokota na kumwingiza ndani ya jumba lao la Sanhedrini, wakisema:+