Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 51:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Ee Mungu, unionyeshe kibali kulingana na fadhili zako zenye upendo.+

      Ufutilie mbali makosa yangu kulingana na wingi wa rehema zako.+

  • Zaburi 103:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kama vile baba anavyowaonyesha wanawe rehema,+

      Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+

  • Zaburi 119:116
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 116 Unitegemeze kulingana na neno lako, ili niendelee kuishi,+

      Wala usiniaibishe kwa ajili ya tumaini langu.+

  • Danieli 9:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Tega sikio lako, Ee Mungu wangu, usikie.+ Fungua macho yako uone hali zetu za ukiwa na jiji ambalo limeitwa kwa jina lako;+ kwa maana si kulingana na matendo yetu ya uadilifu kwamba tunaleta maombi yetu mbele zako,+ bali ni kulingana na rehema zako nyingi.+

  • Luka 1:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 na kwa vizazi baada ya vizazi rehema yake iko juu ya wale wanaomwogopa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki