Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 15:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kwa maana uasi+ ni sawa na dhambi ya uaguzi,+ na kwenda kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na terafimu.+ Kwa kuwa umelikataa neno la Yehova,+ basi yeye pia amekukataa wewe usiwe mfalme.”+

  • Methali 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nao waovu, watakatiliwa mbali kutoka duniani;+ nao wenye hila, watang’olewa kutoka ndani yake.+

  • Methali 25:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Takataka na iondolewe kwenye fedha, na yote itatoka ikiwa safi.+

  • Yeremia 6:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Hakika watu watawaita fedha iliyokataliwa,+ kwa maana Yehova amewakataa.”+

  • Ezekieli 22:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Mwana wa binadamu, kwangu mimi wale wa nyumba ya Israeli wamekuwa kama takataka.+ Wote ni shaba na bati na chuma na risasi katikati ya tanuru. Wamekuwa takataka nyingi, ile ya fedha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki