Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  34 Unifanye nielewe, ili nipate kuishika sheria yako+

      Nami nipate kuishika kwa moyo wote.+

  • Zaburi 119:116
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 116 Unitegemeze kulingana na neno lako, ili niendelee kuishi,+

      Wala usiniaibishe kwa ajili ya tumaini langu.+

  • Methali 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Midomo ya mwadilifu huendelea kulisha wengi,+ lakini wapumbavu huendelea kufa kwa sababu ya kupungukiwa moyoni.+

  • Danieli 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wengi watajitakasa+ na kujifanya weupe+ na kusafishwa.+ Na waovu watatenda kwa uovu,+ wala hakuna waovu wowote watakaoelewa;+ bali wale walio na ufahamu wataelewa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki