Zaburi 119:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Unifanye nielewe, ili nipate kuishika sheria yako+Nami nipate kuishika kwa moyo wote.+ Zaburi 119:116 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 116 Unitegemeze kulingana na neno lako, ili niendelee kuishi,+Wala usiniaibishe kwa ajili ya tumaini langu.+ Methali 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Midomo ya mwadilifu huendelea kulisha wengi,+ lakini wapumbavu huendelea kufa kwa sababu ya kupungukiwa moyoni.+ Danieli 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wengi watajitakasa+ na kujifanya weupe+ na kusafishwa.+ Na waovu watatenda kwa uovu,+ wala hakuna waovu wowote watakaoelewa;+ bali wale walio na ufahamu wataelewa.+
116 Unitegemeze kulingana na neno lako, ili niendelee kuishi,+Wala usiniaibishe kwa ajili ya tumaini langu.+
21 Midomo ya mwadilifu huendelea kulisha wengi,+ lakini wapumbavu huendelea kufa kwa sababu ya kupungukiwa moyoni.+
10 Wengi watajitakasa+ na kujifanya weupe+ na kusafishwa.+ Na waovu watatenda kwa uovu,+ wala hakuna waovu wowote watakaoelewa;+ bali wale walio na ufahamu wataelewa.+