Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na nyumba yako na ufalme wako hakika zitakuwa imara mpaka wakati usio na kipimo mbele yako; nacho kiti chako cha ufalme kitafanywa imara mpaka wakati usio na kipimo.”’”+

  • 2 Samweli 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na Benaya+ mwana wa Yehoyada alikuwa juu ya Wakerethi+ na Wapelethi.+ Nao wana wa Daudi, wakawa makuhani.+

  • 1 Wafalme 10:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Tena mfalme akatengeneza kiti kikubwa cha ufalme+ cha pembe za tembo+ na kukifunika kwa dhahabu safi.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na Sulemani akaanza kuketi juu ya kiti cha ufalme cha Yehova+ akiwa mfalme mahali pa Daudi baba yake, akafanikiwa,+ na Israeli wote walikuwa wakimtii.

  • Mathayo 19:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Yesu akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Katika uumbaji-mpya Mwana wa binadamu atakapoketi juu ya kiti chake cha ufalme chenye utukufu, ninyi ambao mmenifuata mtaketi pia juu ya viti vya ufalme kumi na viwili, mkiyahukumu yale makabila kumi na mawili ya Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki