Zaburi 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Utawaangamiza wale wanaosema uwongo.+Mtu anayemwaga damu+ na mdanganyifu+ Yehova anamchukia. Zaburi 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watu waovu+ watarudi katika Kaburi,*+Naam, mataifa yote yanayomsahau Mungu.+ Zaburi 94:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye atayageuza madhara yao yarudi juu yao+Naye atawanyamazisha kwa msiba wao wenyewe.+ Yehova Mungu wetu atawanyamazisha.+
23 Naye atayageuza madhara yao yarudi juu yao+Naye atawanyamazisha kwa msiba wao wenyewe.+ Yehova Mungu wetu atawanyamazisha.+