Esta 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao wakamtundika Hamani juu ya mti+ ambao alikuwa ameweka tayari kwa ajili ya Mordekai;+ nayo ghadhabu ya mfalme ikapungua. Zaburi 94:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye atayageuza madhara yao yarudi juu yao+Naye atawanyamazisha kwa msiba wao wenyewe.+ Yehova Mungu wetu atawanyamazisha.+ Methali 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtu mbaya hunaswa kwa kosa la midomo,+ lakini mwadilifu hutoka katika taabu.+ Methali 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kinywa cha mjinga ni uharibifu wake,+ na midomo yake ni mtego wa nafsi yake.+
10 Nao wakamtundika Hamani juu ya mti+ ambao alikuwa ameweka tayari kwa ajili ya Mordekai;+ nayo ghadhabu ya mfalme ikapungua.
23 Naye atayageuza madhara yao yarudi juu yao+Naye atawanyamazisha kwa msiba wao wenyewe.+ Yehova Mungu wetu atawanyamazisha.+