18 Mara moja Abigaili+ akafanya haraka, akachukua mikate mia mbili na mitungi miwili mikubwa ya divai+ na kondoo watano+ na vipimo vitano vya sea vya nafaka iliyochomwa+ na keki mia moja za zabibu kavu+ na keki mia mbili za tini zilizoshinikizwa,+ akazipakia juu ya punda.
36 Lakini katika Yopa+ kulikuwako mwanafunzi fulani aliyeitwa Tabitha, jina ambalo, linapotafsiriwa, linamaanisha Dorkasi. Huyo alizidi katika matendo mema+ na zawadi za rehema alizokuwa akitoa.